Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Ni upumbavu ulio kichwani kwako tuu. Nchi aina mafuta.Ndugu yangu nchi hiyo, matatizo ya mafuta, kati ya wanufaika wengi, wa mchezo huo, ndo viongozi serikalini na pia wanatokea kuwa na hisa ktk makampuni ya biashara hiyo ya mafuta, hivyo haya mambo aisee, mkubali tu yaishe.....
Hiyo ndo maana halisi ya nchi masikini,na familia nyingi hazina hata akiba ya mlo wa week moja,tunaenda kwa nguvu za Mungu tuYani mtu anaita press kabisa kusema siku 19 kweli
Ukumbuke jamaa na familia yake wanatembelea V8 za serikali ambapo wao wana sheli zao maalumu Kurasini kule. Hivyo anachosema hamna uhaba wa mafuta ni kweli kwa sababu mda wote dereva wake anaenda kujaza tu.Muhuni tu huyo
Siku 19 anaona nyingi?
Labda aseme mzigo mwingine unashushwa soon
Nimechoka sana maana hata mzigo ushushwe kesho,kupakua ,kusambaza hadi ufike mtaani sio leo.Acha tu ndiyo waliominiwa na nchi kutuongoza...yaaani siku 18/19 anaona ni hifadhi ya kutosha wakati USA wana stock ya miaka 100 na wala hawaringi.
Yuel IGP sijui Hana hekima, unasema Kuna uhaini wakati nchi inatarajia kuwa mwenyeji wa conference ya kilimo kwa nchi sabini.Eti siku 19 CCM mmetufikisha mahali pabaya sana
Kuna mwingine alijitokeza hadharani eti kuna uhaini
Nashukuru watalii hawakumsikia yule mlevi.
Ni jambo jemaukionesha kadi ya kijani unapewa mafuta chap
cdm wasubiri mpaka kesho
Mkeka wa EWURASio moshi tu. Ni maeneo mengi ya hii nchi. Ila nadhani kuanzia kesho hali inarudi kuwa kawaida.