Swali zuri sana hiliSwali la kujiuuliza ni kwanini walikua wanatoka Moshi na kufuata mzigo Dar ambapo ni mbali kuliko Tanga.
DuhCommand Economy.
Hivi pakiwa na huduma nzuri za bandari pale Tanga kuna mtu atatoka Arusha kwenda Dar kuchukua mzigo wakati upo Tanga kwa bei ya chini zaidi? Lazima kuna shida huwa biashara hailazimishwi.Command Economy.
Wanaumia vipi?? wakati mwingine tuwe wakweli hivi unapochukua mafuta Dar ukauze Segera wakati Tanga ni Km 70 tu kutoka Segera na unaweza kuyapata Pale Tanga ni kipi bora?? maana ya serikali ni kuwa na maamuzi Mazuri ambayo yanasaidia watu wengi kwa pamoja na hilo ndio maana ya kuwainua watu. Kuwainua sio kuwapa mihela hilo halipo wala kuwambia kaaeni tu nyumbani bila kazi!!!Kiufupi hatua hiyo inaumiza wafanyabiashara Sio kwamba hawana akili kupapita Tanga wakachukulie mZigo Dar paspo na faida
Tatizo msiojua kitu huwa mnaandika sana.Wanaumia vipi?? wakati mwingine tuwe wakweli hivi unapochukua mafuta Dar ukauze Segera wakati Tanga ni Km 70 tu kutoka Segera na unaweza kuyapata Pale Tanga ni kipi bora?? maana ya serikali ni kuwa na maamuzi Mazuri ambayo yanasaidia watu wengi kwa pamoja na hilo ndio maana ya kuwainua watu. Kuwainua sio kuwapa mihela hilo halipo wala kuwambia kaaeni tu nyumbani bila kazi!...