EWURA yatangaza bei mpya za mafuta

Tutanyookaa aisee.. Waharakishe mradi wa DART ili wengi tuhamie huko!

Halafu hawa EWURA naskia kuna percent wanachukua katika kila lita ya petrol sijajuaga zinaenda wapi?
 
We ni muongo mkubwa

Ingia humo ujifunze
 
Duhhh! Kazi ipo kwakweli.

Alafu dar bado mko nyuma sana,mafuta ya taa bado munatumia!!!
 
Halafu mama anataka watu wajadili uchumi na sio siasa.
Anachokitafuta atakipata tu, wewe subiri tu.
Women Should Never Lead Men in all Spheres of Power, Politics and Authority
Man is a Superior Gender as a Gift of Nature. Wee subirini tu mtaona ..............
 
Kaa kimya , ulimshabikia Bi kudemka , sasa kazana kudemka naye.
Na ninaendelea kumshabikia. Kuuliza ni haki yangu ya msingi.
Nyie ambao baba zenu hawakuwafundisha upendo, baba akifika mnajificha uvunguni hamzijui hata haki zenu
 
Una kichaa wewe nchi nyingi za ulaya ziko kwenye movement ya kutokomeza matumizi ya magari ya Petrol ili kulinda mazingira kwahiyo usishangae petrol kuwa na Bei ya juu.

Hapo Hakuna uhalisia na TANZANIA
Hakuna achojua huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…