EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta leo Septemba 6, 2023

Ipande tu maana mikutano ya CHADEMA imezidi
 
Huu ni udhaifu wa kuanzia kwa januar, aliponusa akaona pua inabana akaomba poo.

Hii nchi inakuja kushindikana muda siyo mrefu.

Mchele bado ni 2500 sembe na ngano vilishuka kufika 1600 sasa vinapaa kule.kule.

Ngoja niishie hapa.
 
Biteko kaangushiwa jumba bovu
Ameingia hiyo wizara lini? Mume wa spika ndio Boss wa Ewura.

Wenye vituo vya mafuta wanajuwa mapema tu bei inapanda uliza watu wa Tabora na Kigoma wana muda gani hawana mafuta yamefichwa kusubili bei mpya.

Swali wafanyabiashara wanajuwaje bei itapanda na siyo kushuka?
 
Huu ni udhaifu wa kuanzia kwa januar, aliponusa akaona pua inabana akaomba poo.

Hii nchi inakuja kushindikana muda siyo mrefu.

Mchele bado ni 2500 sembe na ngano vilishuka kufika 1600 sasa vinapaa kule.kule.

Ngoja niishie hapa.
We mama tafadhali last night tu nimenunuwa mchele stock ya home kwa bei ya sh 3000 kwa kilo na hii ni bei ya muda mrefu tu, labda mchele wa vitumbuwa ndio bei hiyo.
 
Exactly [emoji817]...
 
Huyu ndiye Mme wa Spika Tulia Ackson anasema tusiwe na hofu mafuta yapo ambaye ndiye mkurugenzi wa Ewura.

Wewe unadhani Tulia ataruhusu hoja ya mafuta iende Bungeni na Mume wake Spika ajadiliwe ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…