EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta leo Septemba 6, 2023

EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta leo Septemba 6, 2023

Haya mambo ya kuagiza bulk ime fail vibaya ina mianya ya rushwa sana ni wakati wa kurudi kulekule mwenye uwezo alete tu mafuta halafu washindane sokoni hakuna kitu bei elekezi tuache ushindani wa biashara maana mafuta bei zake ni soko la dunia ndiko bei inacheza kutegemea demend and supply na wale wanaitwa speculators ndio wanachochea bei kucheza. Kuna haja kubwa ya kuja na mfumo mpya hakuna tender kampuni inataka kuleta mafuta iombe lincence ikifika vigezo wapewe license ushindani uwepo. EWURA kazi iwe kujuwa tu mzigo unaingia lini na mafuta yako yakutosha basi, sio bei.
 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September 06, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi September 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3213 kwa lita, dizeli Tsh. 3259 na mafuta ya taa 2943.

EWURA imesema mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi September 2023 yaliyoonesha kupanda kwa bei yanatokana na kupanda kwa gharama za mafuta katika soko la dunia kwa hadi 21%, gharama za uagizaji wa mafuta hadi 62% ikilinganishwa na mwezi August 2023 na maamuzi ya kisiasa katika nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi (OPEC+).

Itakumbukwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini kwa mwezi uliopita zilizoanza kutumika kuanzia Jumatano August 02, 2023 saa 6:01, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ilikuwa ni Tsh. 3199 kwa lita, dizeli Tsh. 2935 na mafuta ya taa 2668.

Hapo Sasa hakuna Kituo Cha mafuta kitagoma.

Serikali iachene upuuzi,waweke ruzuku kama ilivyokuwa mwaka Jana Kwa sababu huko Duniani wenye mafuta Yao wamepunguza uzalishaji Ili bei ipande.

Mwisho tunawaona Waarabu Ikulu why wasituuzie mafuta Kwa bei nzuri japo najua watataka nao Cha Kubadilishana.

Biteko jiandae kisaikolojia,leta ruzuku au jiuzulu.
 
Habari kamili ni kwenye tovuti ya EWURA. Mgomo wa mabasi is loading kutaka naui ipande...
Screenshot_20230906-065713.jpg


Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya kuagiza bulk ime fail vibaya ina mianya ya rushwa sana ni wakati wa kurudi kulekule mwenye uwezo alete tu mafuta halafu washindane sokoni hakuna kitu bei elekezi tuache ushindani wa biashara maana mafuta bei zake ni soko la dunia ndiko bei inacheza kutegemea demend and supply na wale wanaitwa speculators ndio wanachochea bei kucheza. Kuna haja kubwa ya kuja na mfumo mpya hakuna tender kampuni inataka kuleta mafuta iombe lincence ikifika vigezo wapewe license ushindani uwepo. EWURA kazi iwe kujuwa tu mzigo unaingia lini na mafuta yako yakutosha basi, sio bei.
Tatizo hata kama Kila mtu ataagiza Bado kampuni Zenye Nguvu ya pesa ni hizo hizo 27 so Bado zinaweza kuweka cartels.

Jambo la msingi ni tuwe na kampuni kubwa ya serikali waipe mtaji kama ilivyo kwenye NFRA bei za misosi zikipanda Wanaongoza msosi wao sokoni.
 
EWE MUNGU PITISHA RUNGU LAKO LA HAKI KWA KILA ANAEHUSIKA NA UDHALIMU HUU WA KUTUKANDAMIZA RAIA WA CHINI.

MCHUKUE UKAMPUMZISHE HUYU KIUMBE WAKO ALIE JUU KABISA MAANA AMEKOSA ROHO YA UTU NA HURUMA, NI BORA AKAKAE NA MASHETANI WENZIE.

WAPUMZISHE WALE WOTE WALIO NA MADARAKA NA KUAMUA KWA UDHALIMU NA TAMAA ZA NAFSI ZAO WATUKANDIMIZE SISI TULIO CHINI.

AMEEN.
 
This mus stop..

Hakuna haja ya kutesa wananchi bila sababu....
Udalali sio kitu kizuri kwa taifa lolote changa kama la kwetu.
Hiyo sio biashara ni uhuni....

Na kama EWURA wameshindwa waache twende kiholela kuliko kuwa na a buch of people paid by tax payers money doing nothing and or protecting the interests of cartels......

Mnaharibu image ya nchi kwa vitu visivyo na maana..

Kwahiyo hata umeme kukatika mara kwa mara ni short supply ya soko la Dunia?
Hata tungeenda kiholela nakumbuka Makamba alishasema ambae ana mafuta ya bei nafuu aje Ofisini Apewe kibali hakuna aliyeenda.

Hapa dawa ni ruzuku but njia nzuri ni kuwa na kampuni ya serikali tutafute marafiki zetu huko Nje watuuzie Kwa bei nzuri.

Kama.sio kuwatukana Waarabu na uhakika mama angeongea nao vizuri wangetuuzia mafuta Kwa bei chee
 
Hapo Sasa hakuna Kituo Cha mafuta kitagoma.

Serikali iachene upuuzi,waweke ruzuku kama ilivyokuwa mwaka Jana Kwa sababu huko Duniani wenye mafuta Yao wamepunguza uzalishaji Ili bei ipande.

Mwisho tunawaona Waarabu Ikulu why wasituuzie mafuta Kwa bei nzuri japo najua watataka nao Cha Kubadilishana.

Biteko jiandae kisaikolojia,leta ruzuku au jiuzulu.
Hakuna atakayekupa mafuta kwa bei ndogo chini ya bei ya dunia, na sababu kuu wanaozalisha mafuta kwa maana downstream( refining) zinaendeshwa kibiashara zaidi na ruzuku wanatoa kwa mafuta yanayouzwa ndani tu ya nchi zao sio export. Sisi pia tunashida ya taxes zetu ni nyingi mno na zinaongezeka kwa % hii ni shida sana. Kwanini tax ipande kwa % isiwe fixed.
 
Tatizo hata kama Kila mtu ataagiza Bado kampuni Zenye Nguvu ya pesa ni hizo hizo 27 so Bado zinaweza kuweka cartels.

Jambo la msingi ni tuwe na kampuni kubwa ya serikali waipe mtaji kama ilivyo kwenye NFRA bei za misosi zikipanda Wanaongoza msosi wao sokoni.
Hapo ndio kazi ya EWURA kuhakikisha sheria kali kwenye cartels nchi zingine hii ni kesi kubwa sana na wanaogopa kufanya. kwenye NFRA haitawezekana maana mahindi unazalisha mwenyewe lakini mafuta hata kama unazalisha nchini kwako shida bei hupangi wewe ni soko la dunia vinginevyo ukiuza bei ya chini ya soko unakuwa kama unatoa ruzuku na hatari nyingine kubwa ukitoa ruzuku kubwa bei yako ikawa chini kuliko majirani zako unafungua magendo wataanza kununua mafuta ya ruzuku na kuuza kwa majirani na kwakuwa tumezungukwa na nchi nyingi ni hatari. bei yako isiwe chini sana kuliko majirani ikaleta ushawishi magendo kupitia mipakani. Kuna nchi moja nilishawahi kwenda sababu mafuta yao yalikuwa bei chini kuliko jirani zao( sababu ya ruzuku) ikawa ukipita mpakani tank lako lisizidi nusu kwa kuwa walikuwa wanajuwa mtu anajaza tank anavuka, anauza halafu anarudi tena mpaka walivyoondoa ruzuku wakaachia kwa kuwa haikuwa na faida tena kununua na kuuza upande wa pili.
 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September 06, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi September 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3213 kwa lita, dizeli Tsh. 3259 na mafuta ya taa 2943.

EWURA imesema mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi September 2023 yaliyoonesha kupanda kwa bei yanatokana na kupanda kwa gharama za mafuta katika soko la dunia kwa hadi 21%, gharama za uagizaji wa mafuta hadi 62% ikilinganishwa na mwezi August 2023 na maamuzi ya kisiasa katika nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi (OPEC+).

Itakumbukwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini kwa mwezi uliopita zilizoanza kutumika kuanzia Jumatano August 02, 2023 saa 6:01, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ilikuwa ni Tsh. 3199 kwa lita, dizeli Tsh. 2935 na mafuta ya taa 2668.

Tulitegemea. Mwigulu atasema hatuzalishi nafuta aha ha a a ng"ombe kabisa
 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September 06, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi September 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3213 kwa lita, dizeli Tsh. 3259 na mafuta ya taa 2943.

EWURA imesema mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi September 2023 yaliyoonesha kupanda kwa bei yanatokana na kupanda kwa gharama za mafuta katika soko la dunia kwa hadi 21%, gharama za uagizaji wa mafuta hadi 62% ikilinganishwa na mwezi August 2023 na maamuzi ya kisiasa katika nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi (OPEC+).

Itakumbukwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini kwa mwezi uliopita zilizoanza kutumika kuanzia Jumatano August 02, 2023 saa 6:01, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ilikuwa ni Tsh. 3199 kwa lita, dizeli Tsh. 2935 na mafuta ya taa 2668.

Hatimaye Petrol imerudi katika nafasi yake, ile bei ya awali ilikua kila nikiiona naona kama vile maigizo tu.
 
Hivi ile habari ya ufisadi wa kutisha wa mabilioni wizara ya mamba ya ndani unaomhusisha Abdul na waziri mbona umezimwa kwenye vyombo vyote vya habari hata jf?
 
Back
Top Bottom