Fernando Wolle
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 387
- 770
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah umenishtua sana nikajua Mikumi national parkMitano tena haitoshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah umenishtua sana nikajua Mikumi national parkMitano tena haitoshi.
Mibunge yetu nayo mamamake hata haihoji imekarisha makengele tu kwenye viti! Huu no uongo wa mchana kweupe. Hakuna bei iliyopanda huko kwenye soko la dunia. Bei imesimamia kwenye $86 kwa barrel bei ambayo ni ya muda mrefu!Issue ni hiyo statement kuwa Bei ya mafuta imepanda Kwa 21% kwenye soko la Dunia na pia gharama za uagizaji zimeongezeka Kwa 62%. Huo ni UWONGO.
Waarabu wanazingua sana.
Sasa wanacut oil productions Ili tu washindane na Dollar licha ya kwamba vita vyao vinafeli.
Jaribu kufanya utafiti maana hata hujui tatizo lipo wapi ,acha kufuata mkumbo wa wanasiasa.Wewe jamaa nilijua una akili timamu kumbe hamna kitu kabisa.
Hii laana yote ni mavuno ya makamba,wamemtoa hapo kumfichia aibu tu.
Trillions of hela za maintenance umeme unarudi Sasa hivi toka ukatike Jana. Fisadi nyiee
unsound of mindKwani wewe ulikatazwa kununuwa na kuleta mafuta ya bei poa?
Unangoja nini badala ya porojo?
Bila kumsahau Mwenyekiti wa Bodi Professor Mark Mwandosya!Dkt. James A. MwainyekuleMKURUGENZI MKUU- EWURA? Is this right?
Wanaume wakiongea kitu kaa kwa kutulia hata dini yako ndivyo inavyokuelekeza.Kwani wewe ulikatazwa kununuwa na kuleta mafuta ya bei poa?
Unangoja nini badala ya porojo?
😆😆😆😆😆Mungu ibariki Tanganyika
Umenunua huo mchele huko uingereza?We mama tafadhali last night tu nimenunuwa mchele stock ya home kwa bei ya sh 3000 kwa kilo na hii ni bei ya muda mrefu tu, labda mchele wa vitumbuwa ndio bei hiyo.
Eli79 mtu wangu wa nguvuKuendesha gari binafsi soon innanza kuwa anasa.
Mkuu wangu Copenhagen, najua mambo yako poa sana huko kwa wadenish mzee.Eli79 mtu wangu wa nguvu
Majizi... wajanja au wahalifu? Hilo ni genge hatari sana kwa nchi.
Mbona Russia wamewauzia India mafuta kwa bei ya chini na Hakuna aliyepiga kelele huko OpecHapo ndio kazi ya EWURA kuhakikisha sheria kali kwenye cartels nchi zingine hii ni kesi kubwa sana na wanaogopa kufanya. kwenye NFRA haitawezekana maana mahindi unazalisha mwenyewe lakini mafuta hata kama unazalisha nchini kwako shida bei hupangi wewe ni soko la dunia vinginevyo ukiuza bei ya chini ya soko unakuwa kama unatoa ruzuku na hatari nyingine kubwa ukitoa ruzuku kubwa bei yako ikawa chini kuliko majirani zako unafungua magendo wataanza kununua mafuta ya ruzuku na kuuza kwa majirani na kwakuwa tumezungukwa na nchi nyingi ni hatari. bei yako isiwe chini sana kuliko majirani ikaleta ushawishi magendo kupitia mipakani. Kuna nchi moja nilishawahi kwenda sababu mafuta yao yalikuwa bei chini kuliko jirani zao( sababu ya ruzuku) ikawa ukipita mpakani tank lako lisizidi nusu kwa kuwa walikuwa wanajuwa mtu anajaza tank anavuka, anauza halafu anarudi tena mpaka walivyoondoa ruzuku wakaachia kwa kuwa haikuwa na faida tena kununua na kuuza upande wa pili.
Kama kawaa wahuni wanaendelea kuitafuna nchiSasa leo mafuta yatakuwa ya bwerere vituo vya mafuta
Najizuia kweli kukwepa kutoa maoni juu ya komenti zinazofanana na ya kwako.Afadhali Makamba hayupo maana zingeshuka nyuzi humu, mtu wa watu hana kosa.
This mus stop..
Hakuna haja ya kutesa wananchi bila sababu....
Udalali sio kitu kizuri kwa taifa lolote changa kama la kwetu.
Hiyo sio biashara ni uhuni....
Na kama EWURA wameshindwa waache twende kiholela kuliko kuwa na a buch of people paid by tax payers money doing nothing and or protecting the interests of cartels......
Mnaharibu image ya nchi kwa vitu visivyo na maana..
Kwahiyo hata umeme kukatika mara kwa mara ni short supply ya soko la Dunia?