EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta leo Septemba 6, 2023

EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta leo Septemba 6, 2023

This mus stop..

Hakuna haja ya kutesa wananchi bila sababu....
Udalali sio kitu kizuri kwa taifa lolote changa kama la kwetu.
Hiyo sio biashara ni uhuni....

Na kama EWURA wameshindwa waache twende kiholela kuliko kuwa na a buch of people paid by tax payers money doing nothing and or protecting the interests of cartels......

Mnaharibu image ya nchi kwa vitu visivyo na maana..

Kwahiyo hata umeme kukatika mara kwa mara ni short supply ya soko la Dunia?
Dalali mkuu yuko ikulu yule ndio wa kudeal nae
 
Itaenda hadi 3,500 - 3,600 ila haitavuka 3,800 kwa mwaka huuu
 
Wanaohujumu mafuta ya Petroli ni serikali wenyewe,CCM ni mafisadi👇
 
Itaenda hadi 3,500 - 3,600 ila haitavuka 3,800 kwa mwaka huuu
1693976208311.png
 
EWURA iondolewe mamlaka ya kupanga bei za mafuta.
 
Kipindi cha Magu huko Opec walikuwa wanamuogopa? Bei hazikuwa hizi.

Afu BOT watakwambia hakuna mfumuko wa bei.
magu magu....kila kitu magu.....alikutana na upepo wa cvd 19 watu wapo lockdown mafuta ya kumwaga kwa wazalishaji...bei ikashuka...hapa niserikali iamue kwenda against westen waanze kusorce fuel from mosscow ndio italta ahueni...au ewura ingevunjwa watu waruhusiwe kuingiza mafuta kutoka wapojua wao... hakuna bei za hivi zingetokea....hizo protocal ndio zinapandisha bei sana....mfano sukari magu aliishika ikapanda na haijawahi shuka kabisa...akaja mafuta ya kula yakapanda maza anajaribu kurudisha mfumo uliokuwepo kila mtu alete anapojua yeye....
 
Mbunge anasimama bungeni kutoa taarifa ya tendaa za mafuta kuchezewaaa anasimama Spika kukataaa taarifaaa sababu Mumewe ni kiongozi wa Ewuraaa... ungeseee umejaa kila konaaa yani hasiraa tuuu! Nchi inaenda kindugu kuanzia mihimili mikuu ya nchi[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Kulindanaa waibee vizuriii.
 
Back
Top Bottom