the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
Yule alijiondoa mwenyeweMkome!
Mnatoa Rais mnaweka midoli?
Na bado
Aliambiwa COVID inaua,akashupaza shingo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alijiondoa mwenyeweMkome!
Mnatoa Rais mnaweka midoli?
Na bado
Dalali mkuu yuko ikulu yule ndio wa kudeal naeThis mus stop..
Hakuna haja ya kutesa wananchi bila sababu....
Udalali sio kitu kizuri kwa taifa lolote changa kama la kwetu.
Hiyo sio biashara ni uhuni....
Na kama EWURA wameshindwa waache twende kiholela kuliko kuwa na a buch of people paid by tax payers money doing nothing and or protecting the interests of cartels......
Mnaharibu image ya nchi kwa vitu visivyo na maana..
Kwahiyo hata umeme kukatika mara kwa mara ni short supply ya soko la Dunia?
Biharamulo Bei gani?Kilichonishangaza ni mafuta kuuzwa bei ndogo Kigoma kuliko Muleba na Biharamulo
Itaenda hadi 3,500 - 3,600 ila haitavuka 3,800 kwa mwaka huuu
Hahaha si uchimbe mafuta na wewe kila nchi inaringia cha kwake.Waarabu wanazingua sana.
Sasa wanacut oil productions Ili tu washindane na Dollar licha ya kwamba vita vyao vinafeli.
Iende tu mpaka 5000Itaenda hadi 3,500 - 3,600 ila haitavuka 3,800 kwa mwaka huuu
Ahhh apewe Nani Sasa hayo mamlaka?EWURA inapaswa kuondolewa mamlaka ya kupanga bei za mafuta.
magu magu....kila kitu magu.....alikutana na upepo wa cvd 19 watu wapo lockdown mafuta ya kumwaga kwa wazalishaji...bei ikashuka...hapa niserikali iamue kwenda against westen waanze kusorce fuel from mosscow ndio italta ahueni...au ewura ingevunjwa watu waruhusiwe kuingiza mafuta kutoka wapojua wao... hakuna bei za hivi zingetokea....hizo protocal ndio zinapandisha bei sana....mfano sukari magu aliishika ikapanda na haijawahi shuka kabisa...akaja mafuta ya kula yakapanda maza anajaribu kurudisha mfumo uliokuwepo kila mtu alete anapojua yeye....Kipindi cha Magu huko Opec walikuwa wanamuogopa? Bei hazikuwa hizi.
Afu BOT watakwambia hakuna mfumuko wa bei.
Haya ni matunda ya Kipara na ndio anayetakiwa kulaumiwa ndo katufikisha hapa. Huwezi kumlaumu aliyeingia juzi hata wiki hajafikisha.Afadhali Makamba hayupo maana zingeshuka nyuzi humu, mtu wa watu hana kosa.
Mikumi kapewa mwarabu au?Kazi iendelee Mikumi Tena.
Tena kama wale chawa wa raisi asee wanalife ngumu ukiongeza na mafuta basi wanatamani kutema bungo ila ndio vile tena wataonekanaje ila sio siri wanateseka zaidi yetuKinachonifurahisha hizi ni bei tunakabiliana nazo wote pamoja na maccm, Kwahiyo wacha nao watie akili.
Mitano tena haitoshi.Mikumi kapewa mwarabu au?