kissambivi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 218
- 119
Leo nimepita sheli kama tatu wa naniambi hatuuzi kumbe walibet mkeka umetiki!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipande tu maana mikutano ya CHADEMA imezidi
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September 06, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi September 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3213 kwa lita, dizeli Tsh. 3259 na mafuta ya taa 2943.
EWURA imesema mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi September 2023 yaliyoonesha kupanda kwa bei yanatokana na kupanda kwa gharama za mafuta katika soko la dunia kwa hadi 21%, gharama za uagizaji wa mafuta hadi 62% ikilinganishwa na mwezi August 2023 na maamuzi ya kisiasa katika nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi (OPEC+).
Itakumbukwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini kwa mwezi uliopita zilizoanza kutumika kuanzia Jumatano August 02, 2023 saa 6:01, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ilikuwa ni Tsh. 3199 kwa lita, dizeli Tsh. 2935 na mafuta ya taa 2668.
Eti tuna Rais anafanya kazi!Mungu ibariki Tanganyika
😁😁😁Eti tuna Rais anafanya kazi!
Dkt. James A. MwainyekuleMKURUGENZI MKUU- EWURA? Is this right?Nakumbushia,
Mume wa spika ndie boss wa EWURA[emoji40]
🤣🤣HapanaHuu ni udhaifu wa kuanzia kwa januar, aliponusa akaona pua inabana akaomba poo.
Hii nchi inakuja kushindikana muda siyo mrefu.
Mchele bado ni 2500 sembe na ngano vilishuka kufika 1600 sasa vinapaa kule.kule.
Ngoja niishie hapa.
Pigwa na maisha tuMtuambie na Bei mnayonunulia mafuta uko nje kwa lita moja. Tuone Kama atupugwi
Ameingia hiyo wizara lini? Mume wa spika ndio Boss wa Ewura.Biteko kaangushiwa jumba bovu
We mama tafadhali last night tu nimenunuwa mchele stock ya home kwa bei ya sh 3000 kwa kilo na hii ni bei ya muda mrefu tu, labda mchele wa vitumbuwa ndio bei hiyo.Huu ni udhaifu wa kuanzia kwa januar, aliponusa akaona pua inabana akaomba poo.
Hii nchi inakuja kushindikana muda siyo mrefu.
Mchele bado ni 2500 sembe na ngano vilishuka kufika 1600 sasa vinapaa kule.kule.
Ngoja niishie hapa.
Hawajabeti, wana taarifa sahihi, mume wa spika ndio Boss wa Ewura, ni ukoo wa panya.Leo nimepita sheli kama tatu wa naniambi hatuuzi kumbe walibet mkeka umetiki!?
... wajanja au wahalifu? Hilo ni genge hatari sana kwa nchi.Aibu sana, Ewura sasa iko mifukoni mwa wajanja wachache
Kinachonifurahisha hizi ni bei tunakabiliana nazo wote pamoja na maccm, Kwahiyo wacha nao watie akili.... wajanja au wahalifu? Hilo ni genge hatari sana kwa nchi.
Exactly [emoji817]...This mus stop..
Hakuna haja ya kutesa wananchi bila sababu....
Udalali sio kitu kizuri kwa taifa lolote changa kama la kwetu.
Hiyo sio biashara ni uhuni....
Na kama EWURA wameshindwa waache twende kiholela kuliko kuwa na a buch of people paid by tax payers money doing nothing and or protecting the interests of cartels......
Mnaharibu image ya nchi kwa vitu visivyo na maana..
Kwahiyo hata umeme kukatika mara kwa mara ni short supply ya soko la Dunia?
Huyu ndiye Mme wa Spika Tulia Ackson anasema tusiwe na hofu mafuta yapo ambaye ndiye mkurugenzi wa Ewura.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September 06, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi September 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3213 kwa lita, dizeli Tsh. 3259 na mafuta ya taa 2943.
EWURA imesema mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi September 2023 yaliyoonesha kupanda kwa bei yanatokana na kupanda kwa gharama za mafuta katika soko la dunia kwa hadi 21%, gharama za uagizaji wa mafuta hadi 62% ikilinganishwa na mwezi August 2023 na maamuzi ya kisiasa katika nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi (OPEC+).
Itakumbukwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini kwa mwezi uliopita zilizoanza kutumika kuanzia Jumatano August 02, 2023 saa 6:01, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ilikuwa ni Tsh. 3199 kwa lita, dizeli Tsh. 2935 na mafuta ya taa 2668.
Duuu, kumbe wamewekana huko wote? God forbid.