Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Umeufunga uzi, huyu anatusumbua keshatuma na samahani kibao🤣🤣🤣Usikute unasumbua watu kumbe ushatuma na ya kutolea na samahani kwa kuchelewa nyingi kama umepitiliza muda wa kutuma maombi ya mkopo.
😂😂😂 Alimuachia nini??Mbona kama alivyokung'ata alikuachia kichaa?
Sasa mbona kama amegonga mwambaHakuombi hela anakukuomba wewe.
Una umri gani kushindwa kuelewa saikolojia za wanawake?
Mwenzako hapo anataka relation irejee baba.
Hiyo aliyotumia ndiyo 'njia kuu' ya mwanamke kutongozea.
Mwanamke yeyote ukisikia kirahisi rahisi tu anakwambia... 'Nikopeshe hela', sijui 'naomba hela'... elewa kuwa huo ni mtego wa simba umetupiwa na ukiukwepa unastahili tuzo la kombe.
Utakopwa na hulipwi, mpaka akili zikusogee na umkidai ndo anachokitaka msogeleane karibu aitathimini mihemuko yako[emoji16][emoji16][emoji12].
Hana shida ya hela wala nini huyo,
za kuambiwa changanya na zako mwanawane.
Huyo anaakili timamu ndio maana uliweza kuwa na uhusiano naye,hivyo ushauri mhudumie kama alivyokuhudumia wakati ule,kiroho safi tuu,maisha ndio haya haya.Ukiona anayetoa uhai wa mwenzake au yake hajui utamu wa maisha.Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
Na NIDA au sio.....Majina matatu[emoji16]
🤣🤣🤣🤣🙌Usikute unasumbua watu kumbe ushatuma na ya kutolea na samahani kwa kuchelewa nyingi kama umepitiliza muda wa kutuma maombi ya mkopo.
Alpha Male hasemi "mimi ni Alpha Male".Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
Unapoint kwenye maneno yakoHuyo anaakili timamu ndio maana uliweza kuwa na uhusiano naye,hivyo ushauri mhudumie kama alivyokuhudumia wakati ule,kiroho safi tuu,maisha ndio haya haya.Ukiona anayetoa uhai wa mwenzake au yake hajui utamu wa maisha.
Ukishajisema "mimi ni Alpha Male" hayo ni matangazo ya biashara tu.Mimi Huwa najijua na najisema
Dunia imejaa dhambi,uokozi pekee wa dunia hii ni toba pekee.Tanzania dhambi zinakuwa kitu cha kawaida.
Dhambi zako unaomba ushauri kwa jamii?.