Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

changamoto za kimaisha,kazi masomo zinaweza mtoa mtoto wa kike nyumbani hakuna kipya hapo tabia ya mtu ni tabia yake tu we kama umepata aliye tulia shukuru mungu basi
Ni kweli mwisho wa yote sifa ni kwa MUNGU ila na ss si tuna nafasi yetu katika kuchagua?
Mm sijasema umchukulie nyumbani kwao. Nimesema utazame nia yake ya kutii mamlaka. Binti akiwa masomoni bado yupo kwao. In short kabla hajaolewa bado yupo kwao. Binti Kuishi na mwanaume ukiwa kwenu ni kuwatemea wazazi wako MAKOHOZI na inawezekana Mume wake atamtemea tu maana hana hofu ya maadili.
 
Siku wakiitwa wanaume malofa mbele mbebe huyo mmeo msindikize kwa vigelegele huku mkisonga mbele ....maana sio kwa uzoba huo
 
Thank you sweetheart
Kwahiyo ni lazima niangalie sababu za kuachana in the first place kama bado anaziendeleza nimpe goodbye moja ya hatari

Thank u

Jiangalie pia na wewe umebadilikaje, maana nyakati zinatubadilisha watu, anaweza akaja ukamdhania ni yuleyule au unaweza ukajidhania ni wewe yuleyule kumbe sio, mkashindwa ku fit.
 
Ex kama huna malengo nae usimrudie,Me nakula mara moja sirudii,Nawatongoza nachukuwa namba nakausha siku nikitaji kuchepuka naangalia list nianze na nani
 
Very inspiring
 
Aseee
 
Me juzi nimekutana na EX wangu tukapeana namba vizuri tu, Usiku kapiga sasa simu sikuisikia nililala, asubuhi nakuta sms "Saizi ushapata mtu wa kuku**mba vizuri huna haja tena na mm" nikasema kimoyomoyo https://jamii.app/JFUserGuide youuuu !!!!

Nikajuta sana kumpa namba yangu.....
Alafu mtu wa hivi nirudiane naye????????
 
It's up to you kama unaona ana-deserve it's okay....binafsi kwa upande wangu sirudiagi ma-ex hata kama anastahili,,,nimeshajiwekea iyo code.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…