Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Kurudiana na EX wakati mwingine mazingira huchangia..!! Haya umeachana na mtu wako HUko Rombo, mkaachana mara paap mnaonana mpo labda MIAMI kila mtu hakujua kama mwenzie yupo maeneo hayo. Huko lazima mtarudiana
 
Yule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]you made my day wallah
 
Kurudiana na EX wakati mwingine mazingira huchangia..!! Haya umeachana na mtu wako HUko Rombo, mkaachana mara paap mnaonana mpo labda MIAMI kila mtu hakujua kama mwenzie yupo maeneo hayo. Huko lazima mtarudiana
Miami ya Iringa au?😄😄
 
Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.

Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua

Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi kumrudia Ex in a serious way, yupo mmoja tu ambaye ni kama tupo kwenye Open relationship

Nimeona comments za watu humu ndani wakisema kuwa “Ex harudiwi” nimeona hili sio mara moja wala mara mbili ila ni mara nyingi

Currently hali yangu ya kimahusiano ina utata kwa maana kuna ex angu mmoja ninatamani sana kuwa nae milele na hii ni kutokana na kwamba nimepima nimeona yeye anafaa japo ana mapungufu yake kama mimi tu nimeona nitaweza vumilia

Sasa basi lengo la uzi huu ni kupata maoni yenu ama ushuhuda kwamba ilikuaje ulipomrudia ex wako??
Penzi lilifana au ulipoteza muda??

Ushuhuda huo pamoja na vigezo vingine nitavitumia kufanya maamuzi Muhimu sana ktk maisha

Karibuni sana waungwana uwanja ni wenu

View attachment 2490414
X wangu alivofulia mwalim yule jaman.......namuona km zomvi,hamna Raha km kuona x kafulia jmn!!! Hahaaaaaaa
 
Me juzi nimekutana na EX wangu tukapeana namba vizuri tu, Usiku kapiga sasa simu sikuisikia nililala, asubuhi nakuta sms "Saizi ushapata mtu wa kuku**mba vizuri huna haja tena na mm" nikasema kimoyomoyo https://jamii.app/JFUserGuide youuuu !!!!

Nikajuta sana kumpa namba yangu.....
Alafu mtu wa hivi nirudiane naye????????
Alishikwa na wivu tu mkuu

Zungumza nae kuhusu hilo
 
Kurudiana na EX wakati mwingine mazingira huchangia..!! Haya umeachana na mtu wako HUko Rombo, mkaachana mara paap mnaonana mpo labda MIAMI kila mtu hakujua kama mwenzie yupo maeneo hayo. Huko lazima mtarudiana
Sure mkuu wala sio uongo
 
Binafsi simshauli mtu kumrudia x huwa wanazingua sana hurudi Kama malaika miezi mitano mbele huendelea na mambo yaleyale yaliofanya muachane... Toa mti weka mti full stop sitaki mazoea

Sahihi sana
 
Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.

Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua

Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi kumrudia Ex in a serious way, yupo mmoja tu ambaye ni kama tupo kwenye Open relationship

Nimeona comments za watu humu ndani wakisema kuwa “Ex harudiwi” nimeona hili sio mara moja wala mara mbili ila ni mara nyingi

Currently hali yangu ya kimahusiano ina utata kwa maana kuna ex angu mmoja ninatamani sana kuwa nae milele na hii ni kutokana na kwamba nimepima nimeona yeye anafaa japo ana mapungufu yake kama mimi tu nimeona nitaweza vumilia

Sasa basi lengo la uzi huu ni kupata maoni yenu ama ushuhuda kwamba ilikuaje ulipomrudia ex wako??
Penzi lilifana au ulipoteza muda??

Ushuhuda huo pamoja na vigezo vingine nitavitumia kufanya maamuzi Muhimu sana ktk maisha

Karibuni sana waungwana uwanja ni wenu

View attachment 2490414
Hivi kwani ni lazima wote tuoe ,achana na ndoa acha mahusiano fanya vitu vya msingi
 
Kwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.
Kwani wewe SI ulisemaga ni msagaji
 
Back
Top Bottom