Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Whoa, alikufanyaje huyo jamaa katili?

Please share nasi
 
Mkuu mligombana kisa tabia yake ya kuvaa wigi linalochomoka chomoka?
 
Nzuri hii
No attachment
 
Yaan watu hawa
 
NYIEEE!....kuna vitu,usaliti,tabia hazna mbadala wa kurudiana.mathalani umemfuma mwenza laivu akigawana uroda,kwa kwl kwangu ni ngumu kuishi na mtu wa namna hio!!!!
Hilo halisameheki wala halivumiliki
 
Dah nilimpiga tukio anaogopa hata kuoa [emoji23][emoji23][emoji23]

Dear ex utakufa single mi na enjoy huku
Tell us tukio gani hilo na kwanini umuumize mwenzio?😂
Mwanamke katili sana weye
 

Wewe unaye wala mbususu zao kulitokea mtu akakula mbususu yako..!!!

#YNWA
 
Ex wangu nimeachana nae mwaka jana,now mke wa mtu..nampenda sana,,number yake ninayo but tangu ameolewa sijawahi kumtafuta hajawahi kunitafuta...sijui hata nawaza nini...sijawahi kutembea na mke wa mtu and its against my morals,shetani ananiambia nipashe kiporo but navumilia..tangu nimeachana nae sijawahi kua na mwanamke zaidi ya kuruka na hoes...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…