Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
- Thread starter
-
- #101
Nimejaribu sana mkuu ila kati ya wote namuona yule ndiye tutafaana maishaniManeno tu unaweza kumrudia na mkadumu au ukatafuta mwingine mkaachana vilevile.
Ila kama mri wako unaruhusu jaribu kubadili ladha
Kama ni mm ningevuta huyo huyo, siamin kuishi kwa nahau. Ex anarudiwaNimejaribu sana mkuu ila kati ya wote namuona yule ndiye tutafaana maishani
Einstein once said that insanity is doing the same thing over and over and expecting a different result. Umemwelewesha vyema sanaIpo hivyo,
Kama mwanzo mlishindwana unahisi nini kitapelekea sasa hivi muwezane?
Msiporekebisha ya mwanzo basi safari yenu haiwezi kutimia.
Chemistry na spark bado zipoWhy not, kama hamkushindwana ila mazingira yaliwatenganisha na bado chemistry na spark ipo.
Go for it!Chemistry na spark bado zipo
Umeachana nae mwaka jana na saizi ni mke wa mtu,watu wapo speed na maisha.Ex wangu nimeachana nae mwaka jana,now mke wa mtu..nampenda sana,,number yake ninayo but tangu ameolewa sijawahi kumtafuta hajawahi kunitafuta...sijui hata nawaza nini...sijawahi kutembea na mke wa mtu and its against my morals,shetani ananiambia nipashe kiporo but navumilia..tangu nimeachana nae sijawahi kua na mwanamke zaidi ya kuruka na hoes...
Pole sana mkuuKwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.
Umeachana nae mwaka jana na saizi ni mke wa mtu,watu wapo speed na maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe acha kuwasambazia gono ma ex zako, kenge wa chooni wewe.tumia akili acha kuandika kama umekatika kichwa,nimeandika nachokifanya pimbi wewe
Maajabu hayaishi jfWe sindio msagaji[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe acha kuwasambazia gono ma ex zako, kenge wa chooni wewe.
naona umetumwa na dada zako wanuka kNa wewe acha kuwasambazia gono ma ex zako, kenge wa chooni wewe.
Unamaanisha nini ?Mitandaoni mnadanganyana sana ila maisha halisi vitu ni tofauti
Ni Kweli KabisaπππππππππππππKwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.
ex ni sawa na bomu ukirudia basi ni zombie unalolitafuta.