Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Umeachana nae mwaka jana na saizi ni mke wa mtu,watu wapo speed na maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu
 
Ni Kweli KabisaπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Yalikua ni moja kati ya maamuzi mabaya sana niliyowahi kuyafanya ktk maisha,sijui nini kilifanya nimtafute tena ambapo hapo kwa muda mfupi tu niliokaa naye tena umefanya nibaki na maumivu mpaka leo,nilishindwa kusamehe kabisa
 
For me

Sijawai mrudia sio mchumba tu hata rafiki aliyezingua sababu

Hunichukua muda kufanya research.....na kupata majibu mpaka namuacha mtu so
"Once is a DEMON....is a DEMON TOTAL"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…