Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilirudiana na x wangu akaniibia vitu vyote vya ndani ulaaniwe huko uliko na mkomwe wako kama Solar za mobisol
🤣 Pole!!! ulikua unamdate mwizi.Nilirudiana na x wangu akaniibia vitu vyote vya ndani ulaaniwe huko uliko na mkomwe wako kama Solar za mobisol
Mkuu hiyo ndio nia yanguOa Haraka Wewe Elimu Bure Umekubali Kumvumilia
Chemistry!🤔
Kama imefifia unadhani kuna namna ya kuifufua?
Wakisharudiana , wanafikia hatua ya kufunga ndoa ?Watu wanarudiana kama bado hawako kweny ndoa na wengine..
Unaweza kumuacha au kuachana mkazunguka huko mwisho wa siku mnaona hamna jipya bora mtulie pamoja.
Unaposema hawachelewagi unamaanisha nini kujitoa wakati wewe na wao mpo kwenye kundi moja la watu wasiojitambua.inategemeana mmeachana mkiwa katika situation gani,
mfano mimi ma ex huwa ninawakumbuka na kuwamis kipindi nikiwa na nyege
nyege zikizidi huwa ninajirudisha kinyumenyumb3 kwa ma ex na wao hunipokea bwana wao bila hiyana tunaendelea na michezo yetu kwakuwa huwa siwaachagi kwa maumivu,,ila shariti mpime hawachelewagi kupata ngoma
Changamoto Zipo Mwanzo Matamu Kama Asali, Katikati.......Mwisho Machungu Kama ShubiriMkuu hiyo ndio nia yangu
Ila sitaki yanikute maswahibu ndo maana nauliza wazoefu kwanza
Pole sana mkuu au alikuja kulipa kisasi🤣Nilirudiana na x wangu akaniibia vitu vyote vya ndani ulaaniwe huko uliko na mkomwe wako kama Solar za mobisol
Mmh what happened mama?Mwenzako niliangukia pua. Ex abaki kuwa Ex sitaki mazoea.
Kilichofanya tuachane hakikubadilika hata baada ya kurudiana hivyo nikaona ya nn kujipa shida. Aliniacha kwa dharau, alikua kitombi kupita maelezo. Alirudi akaomba msamaha sababu nilikua nampenda bado nikakubali. Akaendeleza tabia zake nilikuja nikamtimua mazima.Mmh what happened mama?
tumia akili acha kuandika kama umekatika kichwa,nimeandika nachokifanya pimbi weweUnaposema hawachelewagi unamaanisha nini kujitoa wakati wewe na wao mpo kwenye kundi moja la watu wasiojitambua.