Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Uweee😃😃😃
Uzuri wa kitu hutokana na mtazamo wa mtu.
Tunaongelea JuxMnawapangia hadi mademu.ccm imewapatia sana
Huyo current girlfriend mbona anabadika mpaka uchiDemu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
Mpare nae kaolewa NigeriaBora hata angebaki na yule mpare
Nigeria wametushinda kwa Imani, uchawi na MaombiRoho , Roho
Roho ina ugonjwa usiotibika
Tatizo hujui chumbani anapewa niniMajanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Kwahiyo unamwambiaje Jux?watoto wa maskini wengi wao wanakuwaga wazuri sana ila kuna vitu vingi sana wamenyimwa ila uzuri tu ndiyo wamepewa;
watoto wanao toka familia za kitajiri wengi wao wanakuwaga sio wakali sanaaaaa ila kuna upoaji wao wanao ni noma sanaaa na wamepewa vingi pia kuanzia busara namna yakufikiri hata ukiwa unaongea naye unajua unaongea na mtu
Nigeria wanatoa nini zaidi ya JuJuTatizo hujui chumbani anapewa nini
kwa afya hata ya akili abaki Nigeria tuKwahiyo unamwambiaje Jux?
Arudi Tz kwa mtoto gan maskini?
Labda anapewa tigo na juju ya utajiriNigeria wanatoa nini zaidi ya JuJu
Na wao!kwa afya hata ya akili abaki Nigeria tu
Hili nalo nenoLabda anapewa tigo na juju ya utajiri