Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Uyo mtoto wa ki Nigeria ni bonge moja la demu wanawake wa ki Nigeria wana akili za kibepari tofauti na wanawake wa ki bongo Wenye akili za kijamaa uzuri sio muonekano tu Mind set ya mtu ni moja ya sababu kubwa sana inaongeza samani Kwa mtu ushajiuliza kwanini wanawake wa Kenya Kwa muonekano wa Macho hawavuti sana kuliko wanawake wa Ki Tanzania lakini wanawake wa Kenya wanaongoza kuolewa nje ya nchi Yao na Wana soko kubwa kimataifa ao wanawake wa Kenya na Nigeria ni mabepari ao ata wakikupenda hawakufumbi macho wanakutongoza nyinyi endeleni kusema nyinyi ni wazuri wakati mmejifunga Kwa small box
 
mwacheni kijana apoe hapa hata akili itafunguka;
uyu binti mpunga kwake inaonekana sio tatizo kabisa la kijana wangu kuwaza maana binti amekulia kwenye pesa ya kutosha so sio mgeni sana nayo
Mbona ex kwao wana hela mbayaa
 
Back
Top Bottom