Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Majanga, na wao, wahala!

Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?

Kwani wadada wa Tz wana shida gani?

Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175

View attachment 3092177

Angalia current girl friend jamaan

View attachment 3092178

Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?

Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Mkuu toka huko, unapoamua kuwa na demu kuna vitu vingi watu wanaangalia sio uzuri tu peke yake utafeli
 
Majanga, na wao, wahala!

Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?

Kwani wadada wa Tz wana shida gani?

Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175

View attachment 3092177

Angalia current girl friend jamaan

View attachment 3092178

Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?

Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Dada yetu ahsante kwa kutukumbusha. Lakini nikwambie tu; Yuko Wapi Ben Pol na yule Binti wa Kitajiri toka Kenya?
Yuko wapi Diamond na Zari the Boss Lady. Yuko wapi Mwisho Mwampamba. Yuko wapi Kibu Denga na Mzungu wake. Kwa kifupi hasa mastaa Mahusiano yao ni kama moto wa Mshumaa haukeshi!
 
Back
Top Bottom