bassarere
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 294
- 554
😂😂😂,chuma kimepoa icho penny,kina nuru ya pesaSura kama ya nanihii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂,chuma kimepoa icho penny,kina nuru ya pesaSura kama ya nanihii
sijajuaga kuhusu familia yake ila najua mtu anaye dhamini hapoMbona ex kwao wana hela mbayaa
Apo waambie wakaoge watoe hayo ma mekapu,mawigi na vigodoro ndio utajua hamna demu apo.Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
dracula 😂Demu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
Muda si mrefu tutapata picha zake za mapema kabla hajaamka kitandani asubuhiApo waambie wakaoge watoe hayo ma mekapu,mawigi na vigodoro ndio utajua hamna demu apo.
Kweli kabisa. Ipo common factor kwa hao wawili, ni warembo wa mchongo.Demu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
my love 💖 Money Penny
Ulimbo mtupu, Jux asilaumiwe kunasa humu Money Penny 💕Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Kwahiyo ulitakaje?H
Hajamzidi ex wa jux, huo ndio ukweli
Huyu current anataka kufanana na wifi yake (dadake jux) fatuma
Ex huyu huyu anayedanga kwa mbunge wa mahenge????Kama hela na exposure ex pia anazo
Kwahiyo unataka kusema Fatuma ni mzuri kuliko Ex wa JuxMbona mnigeria anafanana na wifi yake fatuma
Kwan fatma unamjua sura yake lkn?
Huyo umeweka hapo wala sio ex wa jux...
Ex wake ni Karen Bujulu. And of course kwa muonokano wa nje Karen ni pisi kuliko mademu wote wa Jux aliowahi kuwa nao hadharani.
Tukirudi kwenye point kila mtu ana uhuru wa kupenda popote muhimu kuenjoy the moment.
halafu jux ni kaka wa makamo atakua mpumbavu kupelekeshwa na mapenzi at 35
kama umemuelewa sana ex wa Jux na una kaka ana mpunga basi muungashe nae. Maana binti anadanga tu mjini, ukitoa upisi kali hajulikani ana shughuli gani mjini
For Jux na contena jipya... ikawe heri, wafunge ndoa wakapate na watoto
Haujui? Au unauliza tu hao kutoa GOTI mashauri sana kwa hio akijishauri sana wakati huko nje anagawa GOTI piga chiniKwani wadada wa Tz wana shida gani?
Waambieni Dada zenu watoe kitundu hurumawale wa summary, alichosema mwamba Nuru2023 ni tamu ya peremende ni mate yako
Ulishatembea nao ukafahamu uzuri wao?Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Waambieni Dada zenu watoe kitundu huruma