Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Ndio muwaambie hivyo bila hivyo watapigwa chini kila uchaoItakuwa hujajiuliza wengine wanamudu vipi kufikia muafaka wa kupewa kitundu huruma bila kuomba ushauri humu JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio muwaambie hivyo bila hivyo watapigwa chini kila uchaoItakuwa hujajiuliza wengine wanamudu vipi kufikia muafaka wa kupewa kitundu huruma bila kuomba ushauri humu JF
Midomo gan
Bora na wewe😂 nakupa kuraDemu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
Kwenye kuchagua wapenzi wanaume hatuangalii uzuri tu.Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Kipendacho rrrrrokho lo
Uzuri humvuta mtu siku ya kwanza, ndilo jambo la kwanza mwanaume kushuhudia kabla ya yote, ndipo zinafuata sifa zingine tabia, usafi, akili n.k..
Kwenye hizo sifa itategemea na hao wawili wanahitaji kipi kutoka kwa mwenzake, cause mwanamke ana mahitaji yake na mwanaume pia.
First date lazima muulizane 'unapenda nini' 'hupendi nini' 'una mtoto' 'dini' 'una miaka mingapi' n.k n.k.. kupitia maongezi mnaweza kusomana..
Mahusiano ya ajabu sana, kuna tuvitu tudogo sana unakuta vinamkera mtu, mfano kuongea kwa sauti unakuta mtu anakereka ila hasemi, ukimya uliopotiliza, kuongea sana, mwingine anapenda muda wote kuzagamua/kuzagamuliwa , dharau n.k n.k
Ndio maana nikasema unakuta mtu ana mahusiano na mwanamke wa uzuri wa kawaida lakini ameridhika na tabia zake na mienendo ambapo amekosa kwa pisi kali.
Love is crazy..
Mimi ni mwanamke demu gan tena nikutane naeHapana hata na wewe siku tukikuona na demu hatuwezi tukaanza kukuuliza mbona yule mzuri kuliko huyu, mademu wana mambo mengi sana ni very personal matters
Bado sijabahatika kupata wife...vikwazo ni vitatu. Lack of capital, kibamia na kumwaga wadhungu ndni ya sekunde 20
Wapare na nigeria..........
😂😂😂,chuma kimepoa icho penny,kina nuru ya pesa
Kwahiyo kafata traaaaaaako?Ex wake ni pisi sema sema huo mtindi ndio uliomuharibia, huyo wa Sasa mzigo kweli anao,
Apo waambie wakaoge watoe hayo ma mekapu,mawigi na vigodoro ndio utajua hamna demu apo.
dracula 😂
Muda si mrefu tutapata picha zake za mapema kabla hajaamka kitandani asubuhi