Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Midomo gan
Screenshot_20240911-095013.jpg
 
Majanga, na wao, wahala!

Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?

Kwani wadada wa Tz wana shida gani?

Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175

View attachment 3092177

Angalia current girl friend jamaan

View attachment 3092178

Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?

Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Kwenye kuchagua wapenzi wanaume hatuangalii uzuri tu.
We wadhani babu wakati anakuoa alikuona wewe ndo mrembo kuliko warembo wote aliowahi kukutana nao?
Bila shaka si kweli
 
Uzuri humvuta mtu siku ya kwanza, ndilo jambo la kwanza mwanaume kushuhudia kabla ya yote, ndipo zinafuata sifa zingine tabia, usafi, akili n.k..

Kwenye hizo sifa itategemea na hao wawili wanahitaji kipi kutoka kwa mwenzake, cause mwanamke ana mahitaji yake na mwanaume pia.

First date lazima muulizane 'unapenda nini' 'hupendi nini' 'una mtoto' 'dini' 'una miaka mingapi' n.k n.k.. kupitia maongezi mnaweza kusomana..

Mahusiano ya ajabu sana, kuna tuvitu tudogo sana unakuta vinamkera mtu, mfano kuongea kwa sauti unakuta mtu anakereka ila hasemi, ukimya uliopotiliza, kuongea sana, mwingine anapenda muda wote kuzagamua/kuzagamuliwa , dharau n.k n.k

Ndio maana nikasema unakuta mtu ana mahusiano na mwanamke wa uzuri wa kawaida lakini ameridhika na tabia zake na mienendo ambapo amekosa kwa pisi kali.

Love is crazy..
 
Bado sijabahatika kupata wife...vikwazo ni vitatu. Lack of capital, kibamia na kumwaga wadhungu ndni ya sekunde 20
 
Apo waambie wakaoge watoe hayo ma mekapu,mawigi na vigodoro ndio utajua hamna demu apo.
 
dracula 😂
Muda si mrefu tutapata picha zake za mapema kabla hajaamka kitandani asubuhi
 
Back
Top Bottom