Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Huyo umeweka hapo wala sio ex wa jux...
Ex wake ni Karen Bujulu. And of course kwa muonokano wa nje Karen ni pisi kuliko mademu wote wa Jux aliowahi kuwa nao hadharani.

Tukirudi kwenye point kila mtu ana uhuru wa kupenda popote muhimu kuenjoy the moment.
halafu jux ni kaka wa makamo atakua mpumbavu kupelekeshwa na mapenzi at 35

kama umemuelewa sana ex wa Jux na una kaka ana mpunga basi muungashe nae. Maana binti anadanga tu mjini, ukitoa upisi kali hajulikani ana shughuli gani mjini

For Jux na contena jipya... ikawe heri, wafunge ndoa wakapate na watoto
Huyo caren mbona sura mbaya kama fish
Huyu ex we humjui tulia usijifanye mwana familia

 
Ex huyu huyu anayedanga kwa mbunge wa mahenge????
Wenye hela wanahongwa harrier tena za kizamani???
Acha uongo bwana, Karen wala sio wa kishua, na page yake hana shughuli anayofanya sio employed wala self employed... hata uinfluencer umemshinda pamoja na kuwa na look matata mixer ngozi nzuriiiiii
Karen ni nan sasa?
Me namwongelea ex niliemweka kwa picha anaitwa Doris sio caren
 
Haujui? Au unauliza tu hao kutoa GOTI mashauri sana kwa hio akijishauri sana wakati huko nje anagawa GOTI piga chini
Du
 
It's a strategy ya kuongeza fan base.. Kwa msanii hiyo ni plus!
Kweli kabisa
 
Beauty lies in the eyes of the beholder.
Sauwa

Mungu anakuooooona

 
Bora na wewe😂 nakupa kura
Kwenye kuchagua wapenzi wanaume hatuangalii uzuri tu.
We wadhani babu wakati anakuoa alikuona wewe ndo mrembo kuliko warembo wote aliowahi kukutana nao?
Bila shaka si kweli
 
Jux mwenye hata huyo wa sasa,atamgonga na kumwacha, mwamba hana time ya kuoa.
Mbona hasira sana?
 
Mbona hasira sana?
Unapenda watu wachangie threads zako,sasa hasira zimetokea wapi.
 
Back
Top Bottom