Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

watoto wa maskini wengi wao wanakuwaga wazuri sana ila kuna vitu vingi sana wamenyimwa ila uzuri tu ndiyo wamepewa;

watoto wanao toka familia za kitajiri wengi wao wanakuwaga sio wakali sanaaaaa ila kuna upoaji wao wanao ni noma sanaaa na wamepewa vingi pia kuanzia busara namna yakufikiri hata ukiwa unaongea naye unajua unaongea na mtu
Absolutely true, you have nailed the key points. Na mwanaume haoi uzuri tu bali anohoa package ya mke ambapo uzuri ni sehemu tu
 
Nilijua huyo Ex ni Vanessa, mbonaa ni huyo mwingineee? Au unazungumzia Tz ipii? LOL
 
Everyone is unique in his/ Her own ways dadalakeee

Watu waache kujilinganisha


Cc Smart911
Absolutely true, you have nailed the key points. Na mwanaume haoi uzuri tu bali anohoa package ya mke ambapo uzuri ni sehemu tu
Sasa ccm inaingiaje hapo????
Au una tatizo la afya ya akili.
 
Nilijua huyo Ex ni Vanessa, mbonaa ni huyo mwingineee? Au unazungumzia Tz ipii? LOL
Utaendelea kubaki nyuma tu boss

 
Back
Top Bottom