Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely true, you have nailed the key points. Na mwanaume haoi uzuri tu bali anohoa package ya mke ambapo uzuri ni sehemu tuwatoto wa maskini wengi wao wanakuwaga wazuri sana ila kuna vitu vingi sana wamenyimwa ila uzuri tu ndiyo wamepewa;
watoto wanao toka familia za kitajiri wengi wao wanakuwaga sio wakali sanaaaaa ila kuna upoaji wao wanao ni noma sanaaa na wamepewa vingi pia kuanzia busara namna yakufikiri hata ukiwa unaongea naye unajua unaongea na mtu
Sasa ccm inaingiaje hapo????Mnawapangia hadi mademu.ccm imewapatia sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Demu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua [emoji2957][emoji857]
Kweli ee?wa east africa tunapenda shobo kwa wanaigeria
DuNisione mwanaume anareply huu Uzi...waache wanyukane wenyew...mi nimeweka tu katzo nisijeulizwa mbona nmereply!
Naona ametoa kibao kipya na girlfriend mpyaMi nachojua jux anatuwakilisha vizuri
Absolutely true, you have nailed the key points. Na mwanaume haoi uzuri tu bali anohoa package ya mke ambapo uzuri ni sehemu tu
Sasa ccm inaingiaje hapo????
Au una tatizo la afya ya akili.
Labda kuna kitu anajaribu kutuambia acha tumsikilizeSasa ccm inaingiaje hapo????
Au una tatizo la afya ya akili.
Utaendelea kubaki nyuma tu bossNilijua huyo Ex ni Vanessa, mbonaa ni huyo mwingineee? Au unazungumzia Tz ipii? LOL
Kweli ee?
Sauwasana tena