Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Uyo mtoto wa ki Nigeria ni bonge moja la demu wanawake wa ki Nigeria wana akili za kibepari tofauti na wanawake wa ki bongo Wenye akili za kijamaa uzuri sio muonekano tu Mind set ya mtu ni moja ya sababu kubwa sana inaongeza samani Kwa mtu ushajiuliza kwanini wanawake wa Kenya Kwa muonekano wa Macho hawavuti sana kuliko wanawake wa Ki Tanzania lakini wanawake wa Kenya wanaongoza kuolewa nje ya nchi Yao na Wana soko kubwa kimataifa ao wanawake wa Kenya na Nigeria ni mabepari ao ata wakikupenda hawakufumbi macho wanakutongoza nyinyi endeleni kusema nyinyi ni wazuri wakati mmejifunga Kwa small box
We umeoa Urusi at Tanganyika?
Maana usitupigie kelele wakati mkeo umemtoa mwananyamala
 
Dada yetu ahsante kwa kutukumbusha. Lakini nikwambie tu; Yuko Wapi Ben Pol na yule Binti wa Kitajiri toka Kenya?
Yuko wapi Diamond na Zari the Boss Lady. Yuko wapi Mwisho Mwampamba. Yuko wapi Kibu Denga na Mzungu wake. Kwa kifupi hasa mastaa Mahusiano yao ni kama moto wa Mshumaa haukeshi!
Hahahahaha haukeshi kweli hahahaa
 
Sasa hivi mapenzi ni biashara watu wana-date strategically, hii mbinu wanawake wamekua wakiitumia kwa muda mrefu naona miaka ya karibuni na wanaume wameifungua hii code., kuanzia Shakib mume wa zari, mpaka mabwana wote wa shilole. Bila shaka lengo la jux kwa huyu binti ni kupenya kwenye media za Nigeria.
 
Sasa hivi mapenzi ni biashara watu wana-date strategically, hii mbinu wanawake wamekua wakiitumia kwa muda mrefu naona miaka ya karibuni na wanaume wameifungua hii code., kuanzia Shakib mume wa zari, mpaka mabwana wote wa shilole. Bila shaka lengo la jux kwa huyu binti ni kipenya kwenye media za Nigeria.
Ngoja kwanza tutafute pesa ,ndio tuanze kulalamika mkuu🤔
 
Sasa hivi mapenzi ni biashara watu wana-date strategically, hii mbinu wanawake wamekua wakiitumia kwa muda mrefu naona miaka ya karibuni na wanaume wameifungua hii code., kuanzia Shakib mume wa zari, mpaka mabwana wote wa shilole. Bila shaka lengo la jux kwa huyu binti ni kupenya kwenye media za Nigeria.
Kwa mara ya kwanza mtu ame comment sense kwa uzi wangu
 
Kigezo ni nini?
Uzuri humvuta mtu siku ya kwanza, ndilo jambo la kwanza mwanaume kushuhudia kabla ya yote, ndipo zinafuata sifa zingine tabia, usafi, akili n.k..

Kwenye hizo sifa itategemea na hao wawili wanahitaji kipi kutoka kwa mwenzake, cause mwanamke ana mahitaji yake na mwanaume pia.

First date lazima muulizane 'unapenda nini' 'hupendi nini' 'una mtoto' 'dini' 'una miaka mingapi' n.k n.k.. kupitia maongezi mnaweza kusomana..

Mahusiano ya ajabu sana, kuna tuvitu tudogo sana unakuta vinamkera mtu, mfano kuongea kwa sauti unakuta mtu anakereka ila hasemi, ukimya uliopotiliza, kuongea sana, mwingine anapenda muda wote kuzagamua/kuzagamuliwa , dharau n.k n.k

Ndio maana nikasema unakuta mtu ana mahusiano na mwanamke wa uzuri wa kawaida lakini ameridhika na tabia zake na mienendo ambapo amekosa kwa pisi kali.

Love is crazy..
 
Back
Top Bottom