Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimekupendaDemu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
Mweeee !Demu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
Vanessa Mdee hata mimi simtaki.Bora hata angebaki na yule mpare
mwacheni kijana apoe hapa hata akili itafunguka;Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe
Wivu tu.Demu mzuri ila kabandika kope, kabandika nywele, na makucha km dracula. Halafu kavaa nusu uchi. Hapo hakuna uzuri. Say no to uzuri wa kununua 🤪🤑
Kuna wanawake ni warembo lakini kukaa nae mwezi hutoboi.Mda mwingine hatuangalii uzuri wa sura na umbo tu🤔
Mzee una uzoefu navyo?🤣😂Midomo ya ivyo vina gubu qqmk.
Kabisa mkuu, unakaa na pisi kali ndani unaona hamna ule muunganiko kabisa , unakua na upweke kama upo mwenyewe, ila pisi ya kawaida tu , unafurah na kuona maisha ni matamu.Kuna wanawake ni warembo lakini kukaa nae mwezi hutoboi.
Kweli, uzuri si kigezo pekee..
Wote ndio haohaoHuyo current girlfriend mbona anabadika mpaka uchi
Uzuri wa kitu au mtu uta depend na vigezo vya muhusika, si watu wengine.Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Walaa. Wanaume mnapigwa na vitu vizito maskini.Wivu tu.
Unaweza ku date na wanawake warembo sana, ukaja kuoa mwanamke wa kawaida sana.... Ni kweli mkuu.Kabisa mkuu, unakaa na pisi kali ndani unaona hamna ule muunganiko kabisa , unakua na upweke kama upo mwenyewe, ila pisi ya kawaida tu , unafurah na kuona maisha ni matamu.
kamepoa sana sura yake inamaelezo yoteHuyo aliyemuweka kama EX wa Juksi mbona siye...
Ila hako katoto ka Naiga ni kazuri sana..
😁😁kabisa mkuu, halafu pisi huwa ni kabla mkuu😅Unaweza ku date na wanawake warembo sana, ukaja kuoa mwanamke wa kawaida sana.... Ni kweli mkuu.
Makiwendo ambonyiHuyo aliyemuweka kama EX wa Juksi mbona siye...
Ila hako katoto ka Naiga ni kazuri sana..
Hivi unaweza kuwa social media personality halafu unavaa hijab na gauni ndefu?Walaa. Wanaume mnapigwa na vitu vizito maskini.
We demu ataacha kukuchiti km mpk mwili wake keshauchiti!!!😜😜😜
Shicha Mbe 'Oko kanyi....Makiwendo ambonyi