asa wewe omba kila siku uwe unaacha.siku ukiachwa na bado unampenda..walai utaimba nyimbo za kisifu na kuabudu pamojaNikiona mtoto wa mtu ananizingua uwa nasepa kimyakimya hakuna mambo ya malumbano wala nini,
So sijawahi kumwambia mtoto wa mtu kuwa nimekuacha au tuachane ,Mimi pia sijawahi ambiwa ivyo.
Uwa ni kimyakimya tu na tunaishi fleshi.
Wala hayana figisu,hayo ni kiroho safi sababu hawara hana talaka.Mzee ulinyangβanywa nini mbona kama Haya maombi yanafigisu kati kat
You are very intelligent , positive minded, independent and brilliant, let our most highly God bless you abundantlyNamuombea neema na afya njema yeye,mtoto ake na jamaa ake mpya aliyemchukua kwangu.
Sababu kuu ya kumuombea mema ni kwasababu naamini binadamu anakuwa huru baada ya kusamehe.
Unamaisha ya furaha sanaNi rahisi.... Ukiona mwenzako ndio anataka kukuacha jaribu kukubaliana na hali alafu tengeneza mazingira ya kumfanya rafiki wa kawaida.
Kwa upande wangu huwa sivunji mahusiano kizembe bora niendelee nayo kwa uvivu yakajivunjikie yenyewe
Amen mkuu.You are very intelligent , positive minded, independent and brilliant, let our most highly God bless you abundantly
Kabisa
Nitasogeza thread soon tuπNini kilitokea chief
Aiseee Mkuu ulilishwa limbwata nini?Msomi mzuri aachane na ushirikina afahamu kwamba uchawi wa kwenye chai haufanyi kazi kwa mentali.
Inabidi ajitahidi sana kuniwahi kuniacha, maana akionesha dalili tu Mimi najiweka pembeni so atakuja kuniacha kumbe Mimi nshamuacha kitambo na sisemi.S
asa wewe omba kila siku uwe unaacha.siku ukiachwa na bado unampenda..walai utaimba nyimbo za kisifu na kuabudu pamoja
Mungu azidi kukutunza Daudi Mchambuzi π₯°π₯°π₯°Namaanisha hakika.
me nina Y wanguUnamlaani?kwanini!
Unambariki?kwanini!
Ninambariki mno mno..nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani.
Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati ninauhitaji na kila mtu aliniacha(nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Ex ni toleo la zamani.Kwanini hupendi kutana nao wakati mmeachana vizuri?
Kwahiyo ipo siku utamkula kirahisi sioWala hayana figisu,hayo ni kiroho safi sababu hawara hana talaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msomi mzuri aachane na ushirikina afahamu kwamba uchawi wa kwenye chai haufanyi kazi kwa mentali.