Nilikua nae tangu nikiwa na 17years tukipeana ahadi ya kuoana [emoji24][emoji24][emoji24] nilikaa nae mpaka nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani ambako ni mkoani kwani chuo nilisomea dar
Nilikaa nyumbani Kwa muda wa miezi sita ila sikuona dalili yoyote ya ndoa nikaanza kutafuta kazi nikapata kazi dar japo ilikua ya mshahara mdogo nikahamia dar nikaanza kufanya kazi.
Siku moja akanipigia simu niache kazi dar nirudi mkoani tuanze mambo ya harusi na kama ni kazi amenitaafutia,basi nikaaga kazini nikaja mkoani nikaanza kukaa home huku naenda kazini.
Nilifanya kazi mwaka mzma hajawahi kukanyaga nyumbani nikamwambia nimeamua kuacha kazi nikae nyumbani Mpaka siku atakapokuja home ajitambulishe ndo ilikua ticket ya kuniacha...Niliachwa mchana kweupe nikaja kugundua alishazaa na mtu mwingine.
Mwaka jana kamchukua mwanamke anaishi nae na anamtoto sasa[emoji24]
Nikifikiria muda niliopoteza sina hamu
Nilikaa nyumbani Kwa muda wa miezi sita ila sikuona dalili yoyote ya ndoa nikaanza kutafuta kazi nikapata kazi dar japo ilikua ya mshahara mdogo nikahamia dar nikaanza kufanya kazi.
Siku moja akanipigia simu niache kazi dar nirudi mkoani tuanze mambo ya harusi na kama ni kazi amenitaafutia,basi nikaaga kazini nikaja mkoani nikaanza kukaa home huku naenda kazini.
Nilifanya kazi mwaka mzma hajawahi kukanyaga nyumbani nikamwambia nimeamua kuacha kazi nikae nyumbani Mpaka siku atakapokuja home ajitambulishe ndo ilikua ticket ya kuniacha...Niliachwa mchana kweupe nikaja kugundua alishazaa na mtu mwingine.
Mwaka jana kamchukua mwanamke anaishi nae na anamtoto sasa[emoji24]
Nikifikiria muda niliopoteza sina hamu