Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameeeen[emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji28][emoji28][emoji28]pole mkuuMungu ambariki EX wangu (first lover wangu)
huyu tuliachana kwa amani tuliitana mezani tukafanya analysis tukaona hakuna mwendo tukavunja mahusiano .
asubuhi ya leo amenipigia anasema angependa kuja nilipo kuifanya Master research yake i was like njoo na nitakuandikia research report yako buree.
anyway kuna mbwa iliniacha December au January baada ya kumkabidhi maisha yangu for 6 or 7 years yule mbwa ni bora angenichoma tu moto ndani ya Nyumba, sina cha kumuombea one day i will find her in a corner that i will have a chance to burn her to death MF
lazima nimdunge sindano yenye virusi vya corona[emoji28][emoji28][emoji28]pole mkuu
Kwa hiyo tutarajie mauaji kutoka kwako hapo baadae?
Eti na viunga vyake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kicherema ni sabuni ya kipande iliyotumika kweli kweli ikabakia kidogo..halafu chembamba kinachokaribia kuvunjika[emoji16][emoji16]
Haki bwana asimame nawe kwenye swala la mapenzi na viunga vyake
Hamna cha kidding nimeshainyaka hiyo ChiefNo hard feelings yani, si nilikula wakati wangu bwana, waendelee wengine ni zamu yao.
Let them prosper yani, kwani wakifanikiwa mimi naumia nini.
Ila kina ex huyo akijichanganya tu napiga tena[emoji23][emoji23][emoji23](kidding)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lazima nimdunge sindano yenye virusi vya corona
atachagua yy kufa au kupona
Aaah wapi! Huo ulikuwa utani tu, nikimalizana na mtu ndio basi tena, no kunyanduana tena!Hamna cha kidding nimeshainyaka hiyo Chief
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukiachana tumeachana, nafuta ukurasa naanza upyaaaaa na bikra yangu[emoji6]
Dada huku umefikaje lakini?[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili huna wewe... umenichekesha.
Nimetagiwa mahali[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Dada huku umefikaje lakini?[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Halafu bwana bwana si imeisha!! Sasa itakuwaje? Hivi hakuna ya bure?Nimetagiwa mahali[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nakuunga mkono mkuu, na ndo nachokazia tangia mwanzon wa uziUkweli ni kwamba watu wakiachana kuna kua na uadui wa chinichini, iyo kuombeana mema ni unafiki tu, maana hadi kuachana means kuna baya lilitokea kwenye mahusiano yenu