EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Mungu ambariki EX wangu (first lover wangu)
huyu tuliachana kwa amani tuliitana mezani tukafanya analysis tukaona hakuna mwendo tukavunja mahusiano .
asubuhi ya leo amenipigia anasema angependa kuja nilipo kuifanya Master research yake i was like njoo na nitakuandikia research report yako buree.

anyway kuna mbwa iliniacha December au January baada ya kumkabidhi maisha yangu for 6 or 7 years yule mbwa ni bora angenichoma tu moto ndani ya Nyumba, sina cha kumuombea one day i will find her in a corner that i will have a chance to burn her to death MF
[emoji28][emoji28][emoji28]pole mkuu

Kwa hiyo tutarajie mauaji kutoka kwako hapo baadae?
 
Mimi ma X Zangu zaidi 75 wote saiz wamezaa watoto cha ajabu mimi tu ndo sina mtoto nasikitika sana kwa kushindwa kunipa ata katoto kamoja.
 
No hard feelings yani, si nilikula wakati wangu bwana, waendelee wengine ni zamu yao.

Let them prosper yani, kwani wakifanikiwa mimi naumia nini.

Ila kina ex huyo akijichanganya tu napiga tena[emoji23][emoji23][emoji23](kidding)
 
Nawaombea mafanikio wakapate wake wema.

Kila mtu huja kwa kusudi maalum maishani ukiona hayajatick ujue haikupangwa. Na kukaa na mtu moyoni siwezagi kwanza moyo utapanuka. Happiness in life comes from lots of things sio relationships tu.

Kilichopangwa na Mungu kinakuja si mbali..hata kikikawia kitakuja tu.
#lifeisgoodyoh#
 
Tukiachana tumeachana, nafuta ukurasa naanza upyaaaaa na bikra yangu[emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili huna wewe... umenichekesha.
 
Ukweli ni kwamba watu wakiachana kuna kua na uadui wa chinichini, iyo kuombeana mema ni unafiki tu, maana hadi kuachana means kuna baya lilitokea kwenye mahusiano yenu
Nakuunga mkono mkuu, na ndo nachokazia tangia mwanzon wa uzi
 
Back
Top Bottom