Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Hata simtesi mi sina desturi za niumizwe na grace halafu nikalipize kwa Careen big no nitamtafta grace nimpe hata nusu ya maumivu aliyonipa Niko kwenye mahusiano tena yana mwezi tu navyomtreat huyu mtoto mpaka haamini anasema ameuona ufalme wa MunguUnasema hufanyi nini??labda pengine umri bado.aise..
Umejeruhika mno Chief.muda ni mponyaji mzuri sana utakuja kuoa bhana usifanye hivyo na wewe.
Mwanamke atakaekuwa na wewe atateseka kwa kipindi fulani maana unamajeraha mno.
Pole sana mwamba aiseh 😌😌😌