EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

namuombea hii changamoto ya upumuaji ipite nae yule kupe mnyonya damu, shetan wa mguu mmoja. Afe kifo kibaya sana yule msichana
 
Usihudhunike I did that for love, nilitaka kumfungulia dunia ili awe anachotaka kabla sijamaliza kumfungulia dunia vizuri akaamua kufua.

nitakwenda kumsaidia kuanika, hajui tu huko alipo najua mpaka aina ya kitanda anacholalia, alijitoa tu akili ila anajua kuwa alikua anadate mtu mwenye akili nyingi haahaahahaa
Chief umeshaoa?kama bado tafuta mke uoe uanzishe familia yako.

Achana na roho ya visasi.

Mwache amalizie kufua kwanza
 
Mkuu punguza jazba, na usitembee na bastola pengine mnaweza mkakutana njiani ukaleta mabalaa kama vijana wa sinza [emoji38]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Siwezi piga mtu bastola ili nifungwe ? hapana nilishakaa mahabusu mwezi mzima kule sio pakwenda kaka.
Na siwezi kujiua nina exposure na haya maisha ni matamu sana tena sana haijalishi una pesa au huna
 
Waanzishie whatsApp group hao Maex wako... Na uwaombe whatsApp wenyewe wakupe uadmin ambao mtu akitaka kuleft awe hawezi baada ya wewe kumu-add hadi hapo utakapomuondoa wewe mwenyewe kundini
Jehovah 😁😁😁
 
Siwezi piga mtu bastola ili nifungwe ? hapana nilishakaa mahabusu mwezi mzima kule sio pakwenda kaka.
Na siwezi kujiua nina exposure na haya maisha ni matamu sana tena sana haijalishi una pesa au huna
Asante Yesu
 
Ana hasira vibaya sana, sema kwa aliyomtendea yote yale halafu analeta ujinga wa namna hiyo unaeza ua mtu aisee

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Ndo mana nasema hivi asamehe.kitu ukikisema na kukisimamia kinaendelea kukua siku baada ya siku aiseh

Ana hasira kali mno aiseh
 
Chief umeshaoa?kama bado tafuta mke uoe uanzishe familia yako.

Achana na roho ya visasi.

Mwache amalizie kufua kwanza
Sioi boss na nina sababu 100 za kwanini sioi.

ningekuwa mtu wa visasi leo hii ningekua jela
sikumlazimisha kukaa, nilitaka aage vizuri hata nisingemzuia
 
Ndo mana nasema hivi asamehe.kitu ukikisema na kukisimamia kinaendelea kukua siku baada ya siku aiseh

Ana hasira kali mno aiseh
Chakorii kuna takataka zinatakiwa kufundishwa kutoa hata neno la shukurani hata kanisani tunaambiwa kila siku.
Imagine rafiki yake ananipigia simu anasema " fulani anasema haukua na mpango wa kumuoa ndiomana akakuacha"nilikata simu na ndio hapo nikaanza kuingiwa na plan ya kumsulubu before sikuwa na haya mawazo yani pamoja na yote yale anasema sikuwa na mipango ya kumuoa real? alitaka assurance ya aina gani?
 
Daktar wa saikolojia alishanihakikishia tatzo langu haliwez kutibika itabidi nikubali kuwa naachwa tu.
Yan hili tatzo la WIVU!!! usiombe likupate. bora uwe na kibamia utavumiliwa. huu ugonjwa nampataga mpenz nampa kila mwanamke anapenda kwa mwanaume lakin nakaba hadi ananikimbia!
mtaalam alinitest kuwa ninunue callgirl, lakin nilipomaliza kuhudumiwa nikalipa pale pale nikaanza mashart asiuzie mwingine nikajicommit kuwa nampa wastan wa posho, ndo Dr akasema nimeshashindikana kupona!
ndo hivyo nikashauriwa na nisioe kabsa. sijui nikizeeka nani atanifunga pampers na kunipeleka juan!
Wacha bhana huo sio wivu bali ni ugonjwa.

Hakuna mtu asiye na wivu aiseh
Hata mimi ninawivu haswa ila nikiona ninaemletea wivu naona giza..woi nabonyeza button pendwa😁😁imeisha hiyo
 
Sioi boss na nina sababu 100 za kwanini sioi.

ningekuwa mtu wa visasi leo hii ningekua jela
sikumlazimisha kukaa, nilitaka aage vizuri hata nisingemzuia
Unasema hufanyi nini??labda pengine umri bado.aise..
Umejeruhika mno Chief.muda ni mponyaji mzuri sana utakuja kuoa bhana usifanye hivyo na wewe.

Mwanamke atakaekuwa na wewe atateseka kwa kipindi fulani maana unamajeraha mno.

Pole sana mwamba aiseh 😌😌😌
 
Chakorii kuna takataka zinatakiwa kufundishwa kutoa hata neno la shukurani hata kanisani tunaambiwa kila siku.
Imagine rafiki yake ananipigia simu anasema " fulani anasema haukua na mpango wa kumuoa ndiomana akakuacha"nilikata simu na ndio hapo nikaanza kuingiwa na plan ya kumsulubu before sikuwa na haya mawazo yani pamoja na yote yale anasema sikuwa na mipango ya kumuoa real? alitaka assurance ya aina gani?
Abou pleeeeaase...😌

Achana na huyo mtu nawala usifikirie kulipa kisasi.please

Please Abou🥺🥺🥺
 
Kuna mambo mengi ya kuombea kabla ya kuombea ma-ex. Kuwaombea ni matumizi mabaya ya maombi.
FC9914DF-3A51-4880-8937-ECBA703BEEC6.jpeg
 
Back
Top Bottom