EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Unamlaani?kwanini!

Unambariki?kwanini!

Ninambariki mno mno..nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani.

Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati ninauhitaji na kila mtu aliniacha(nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.

Twende kazi.

🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
hata mimi ex huwa sipend akwame iwe kiroho au kimwili. sijui kwann mi huwa wana dalili za kutaka nifilisike! uzuri huwa naachwa mimi.
 
hahhahhaahaha nitapata tabu kupanda panda ndege kwenda kulishangaa sanamu langu Chamwino
Naomba likajengwe Magogoni.

Hii takataka nimeiandalia maumivu matamu she will be smiling wakati namuua kimyakimya nitamdunga hata sindano yenye Covid
Unasema
 
hata mimi ex huwa sipend akwame iwe kiroho au kimwili. sijui kwann mi huwa wana dalili za kutaka nifilisike! uzuri huwa naachwa mimi.
Maskini pole..
Bwana akupe wa kushikamana nae asije kukupiga chini
 
Aiseh...alikufanya nini Chief.
Nilimpenda
Akawa ana wasiwasi pengine sitomuoa tho bado nilikua shule nikavaa miwani ya mbao nikampeleka kwa mama na dada zangu hivyo hivyo.
Nikamlipia ada (kwao hakuwa fresh kiuchumi)
Nikagharamia matibabu alipoumwa
Nikagharamia kila kitu kinachomuhusu
Nikamtafutia kazi
Baada ya kufika kazini it took her just two months
Siku moja nikampigia asubuhi akapokea akasema anaenda kufua ndio ulikua mwisho hakujibu meseji wala kupokea simu tena nahisi bado anafua mpaka leo.

Imagine mama yangu ananipigia simu mpaka leo ananiuliza fulani hajambo.
 
Ukweli ni kwamba watu wakiachana kuna kua na uadui wa chinichini, iyo kuombeana mema ni unafiki tu, maana hadi kuachana means kuna baya lilitokea kwenye mahusiano yenu
Kama alikufanyia mengi makubwa na ya maana ambayo anayaendeleza bila uwepo wake,,mwamba kama hautamuombea basi utakuwa huna shukrani
 
Ni rahisi.... Ukiona mwenzako ndio anataka kukuacha jaribu kukubaliana na hali alafu tengeneza mazingira ya kumfanya rafiki wa kawaida.

Kwa upande wangu huwa sivunji mahusiano kizembe bora niendelee nayo kwa uvivu yakajivunjikie yenyewe
Hata mimi aisee, huwa nayaacha tu yanavunjika yenyewe mbele huko

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Nilimpenda
Akawa ana wasiwasi pengine sitomuoa tho bado nilikua shule nikavaa miwani ya mbao nikampeleka kwa mama na dada zangu hivyo hivyo.
Nikamlipia ada (kwao hakuwa fresh kiuchumi)
Nikagharamia matibabu alipoumwa
Nikagharamia kila kitu kinachomuhusu
Nikamtafutia kazi
Baada ya kufika kazini it took her just two months
Siku moja nikampigia asubuhi akapokea akasema anaenda kufua ndio ulikua mwisho hakujibu meseji wala kupokea simu tena nahisi bado anafua mpaka leo.

Imagine mama yangu ananipigia simu mpaka leo ananiuliza fulani hajambo.
Maskini 😌😌😌🥺🥺🥺 nimepata huzuni aiseh

Tuendelee kumsubiri amalize kufua ndugu yangu
 
Ma Ex zangu wawili,
1. E - Mungu akubariki sana, nakuombea mema sana na ubakie na roho nzuri hiyo hiyo aliyokupa Mungu.

2. M - Shukrani sana kwa uvumilivu wako kwangu, I wasn't ready for you. Nawakubali sana hao viumbe wawili hapo juu

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Amen..peponi huna kikwazo 😘😘🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Ndugu yangu angenifata na kunipasulia ukweli like "Man safari iishie hapa kwasababu kadha wa kadha" hata nisingem mind ila for type of action she took. namuandalia maumivu nitamdunga virusi vya covid nimeshaanza kuandaa team ya umafia na umafia nauweza na ulokole nauweza pia. ngoja nipite alikotaka nipite ili mama akiniuliza fulani hajambo sikuhizi amenisusa nimpe jibu alishakufa.
 
Back
Top Bottom