Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Hiyo sentensi ya pili nimeisoma kwa hisia ...Masta aise!!
Yani mapenzi yanaumiza mno aiseh.bora mkulane mmalizane tu hakuna namna [emoji18][emoji18]
Chief umejua kuua aiseh kha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sentensi ya pili nimeisoma kwa hisia ...Masta aise!!
Yani mapenzi yanaumiza mno aiseh.bora mkulane mmalizane tu hakuna namna [emoji18][emoji18]
Chief umejua kuua aiseh kha
Labda uongo uko kwako masta kujifanya mtakatifu 🤸♀️🤸♀️Najarbu kusoma unafiki wa watu humu siuelewi!kama unamuombea mema kwa nn usingekuwa unamuombea wkt ukiwa nae ili aendelee kubaki?mmeshndwa kuiendelea kwa mausiano yenu kisa kugombana au kutofaitiana afu mnajikuta et mnaombeana,huo ni uongo mtupuu
aLabda uongo uko kwako masta kujifanya mtakatifu 🤸♀️🤸♀️
nyie ndo mnajifanya watakatifu kwa kuwaombea mema kumbe hamnaa,kwa nn muachane na kuitana majina sijui Ex,mlishindwa kuombeana kuendea kubak pamoja hadi muachane ndo muombeane?huo ndo unafiki wenyeweLabda uongo uko kwako masta kujifanya mtakatifu 🤸♀️🤸♀️
[emoji1787]Chakorii kuna ma-ex wengi, kuandika inatia uvivu
Halafu pia kuna ex squared, yaani ex umerudiana naye na kutemana na kurudiana...
Ndiyo Ukweli WenyeweCjasemn
a nyie ndo mnajifanya watakatifu kwa kuwaombea mema kumbe hamnaa,kwa nn muachane na kuitana majina sijui Ex,mlishindwa kuombeana kuendea kubak pamoja hadi muachane ndo muombeane?huo ndo unafiki wenyewe
Kabxa mkuu,ila huku wanajifanya wanaombeana,utaombeaje mtu aliekucheat na ukajua kabxa,bad enough kqcheat na rafik yako huku akijua kabxa unampenda na hicho kitendo kitakuumiza......waache unafiki bhnaa,mi sikuombei mabaya wala mazur,ki mpango wake huko alikoNdiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😀😁😂😂😂😃😃😄😄😄😅😆😅😅
Yaani Wengine Humu Wanafki Mkiachana Kuna Mengi Sana Hayasemwi Ambapo Yakisemwa JF Itajaa
Mifano Tele Kubambikiwa Mimba Ya Mtu Mwingine
Mwingine Kumkuta Na Messages Za Kuliwa 😏🙄😶😶😑😐
Ndiyo Ukweli WenyeweKabxa mkuu,ila huku wanajifanya wanaombeana,utaombeaje mtu aliekucheat na ukajua kabxa,bad enough kqcheat na rafik yako huku akijua kabxa unampenda na hicho kitendo kitakuumiza......waache unafiki bhnaa,mi sikuombei mabaya wala mazur,ki mpango wake huko aliko
Iko hivi unajikuta mmeshea vitu vingi mno wakati uko kwenye mapenzi yenu,amekusaidia mno pengine hata kukupeleka shule etc..Wengi Mmeweka Comments Za Kinafki Mno
Eti Unamuombea Afanikiwe Mara Sijui Nini
Tozo Za Miamala Tu Watu Wanaomba Waliohusika Yawapate Mabaya Tena Haraka Haraka
Sembuse Huko Kwenye Dyu Dyu.....
Vita Ni Vita
Yego Kutiki 😁😀😂😃😃😄😃😃😂😅😆
Haya Chief siku ukijua kutofautisha X na S utaelewa lugha inayongelewa HapaKabxa mkuu,ila huku wanajifanya wanaombeana,utaombeaje mtu aliekucheat na ukajua kabxa,bad enough kqcheat na rafik yako huku akijua kabxa unampenda na hicho kitendo kitakuumiza......waache unafiki bhnaa,mi sikuombei mabaya wala mazur,ki mpango wake huko aliko
Sasa kama wewe ulikuwa unapewa ngono tu unanini cha kukumbuka hapo kwa mfano.ngono si mapenzi mwamba.unaweza pats ngono sehemu yoyote ile..HallelujahNdiyo Ukweli Wenyewe
Yaani Wanasema Unaondoka Halafu Unatazama Mbele Tu,Watu Tayari Wamekalia Uongo Tu
Thread Za Chai Ya Rangi 😃😃😂😂😁😁😀
Vyovyote ila ujumbe umeupata,unajificha kweny kivuli cha mwandikoHaya Chief siku ukijua kutofautisha X na S utaelewa lugha inayongelewa Hapa
Hii lugha tunayoongea hapa wala hujafikiria kuitambua na ndo mana umeshindwa kutofautisha ngono na mapenzi.uwe na wakati mwema 🥂Cjasemn
a nyie ndo mnajifanya watakatifu kwa kuwaombea mema kumbe hamnaa,kwa nn muachane na kuitana majina sijui Ex,mlishindwa kuombeana kuendea kubak pamoja hadi muachane ndo muombeane?huo ndo unafiki wenyewe
Hapo ni mbali na zile za one stand night 😁😁Chief hongera.Hawajafika 50 😊 lakini ni wengi...kiasi ukianza orodhesha unaweza pata umemsahau mmoja au wawili usipohakiki list
Unamzigo moyoni masta na bado umewashikilia..waachie ruhusu maisha mengine yaendeleeNdiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😀😁😂😂😂😃😃😄😄😄😅😆😅😅
Yaani Wengine Humu Wanafki Mkiachana Kuna Mengi Sana Hayasemwi Ambapo Yakisemwa JF Itajaa
Mifano Tele Kubambikiwa Mimba Ya Mtu Mwingine
Mwingine Kumkuta Na Messages Za Kuliwa 😏🙄😶😶😑😐
Hapo ni mbali na zile za one stand night 😁😁Chief hongera.
Ingekuwa sabuni walai ungekuwa na kicherema kimoja matratra mno