EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Vyovyote ila ujumbe umeupata,unajificha kweny kivuli cha mwandiko
Woi sasa mimi na wewe nani anajificha kwenye mwandiko!!huu uzi ni wangu na mimi ndie ninaejua πŸ’― nini ni nini.

Naona uko na mzigo moyoni mwako Hebu kunywa kwanza maji ya moto yenye tangawizi,asali na limao ushushe mzigo uliobebaπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ
 
Hahah, kicherema ndio kitu gani?

Hizo za kusimamisha turubai jioni na kuling'oa asubuhi, only God knows...ila nishatundika daruga Mungu ni mwema
Kicherema ni sabuni ya kipande iliyotumika kweli kweli ikabakia kidogo..halafu chembamba kinachokaribia kuvunjika😁😁

Haki bwana asimame nawe kwenye swala la mapenzi na viunga vyake
 
Woi sasa mimi na wewe nani anajificha kwenye mwandiko!!huu uzi ni wangu na mimi ndie ninaejua πŸ’― nini ni nini.

Naona uko na mzigo moyoni mwako Hebu kunywa kwanza maji ya moto yenye tangawizi,asali na limao ushushe mzigo uliobebaπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ
Hakuna kitu kama hicho,nmewananga mnaoleta unafiki wa kuwaombea Ex wenu wkt mliachana..ww ndo naona umepanic hadi unaanza ku argue na masuala ya muandiko wkt ujumbe umeupata
 
Kicherema ni sabuni ya kipande iliyotumika kweli kweli ikabakia kidogo..halafu chembamba kinachokaribia kuvunjika😁😁

Haki bwana asimame nawe kwenye swala la mapenzi na viunga vyake

Ooh!! kiswahili kina maneno

Chakorii, sasa hivi hata nikuwe na wewe kwa bed uko na night dress tu asubuhi itatoboa na hakuna kitu itatokea, so Bwana amesimama kweli nami
 
Hahah, kicherema ndio kitu gani?

Hizo za kusimamisha turubai jioni na kuling'oa asubuhi, only God knows...ila nishatundika daruga Mungu ni mwema
Kicherema ni sabuni ya kipande iliyotumika kweli kweli ikabakia kidogo..halafu chembamba kinachokaribia kuvunjika😁😁

Haki bwana asimame nawe kwenye swala la mapenzi na viunga vyake
Hakuna kitu kama hicho,nmewananga mnaoleta unafiki wa kuwaombea Ex wenu wkt mliachana..ww ndo naona umepanic hadi unaanza ku argue na masuala ya muandiko wkt ujumbe umeupata
sawa baba umeshinda.tuendelee kujenga nchi
 
Kicherema ni sabuni ya kipande iliyotumika kweli kweli ikabakia kidogo..halafu chembamba kinachokaribia kuvunjika😁😁

Haki bwana asimame nawe kwenye swala la mapenzi na viunga vyake

sawa baba umeshinda.tuendelee kujenga nchi
Aya kanletee tofali na mchanga
 
Ukweli ni kwamba watu wakiachana kuna kua na uadui wa chinichini, iyo kuombeana mema ni unafiki tu, maana hadi kuachana means kuna baya lilitokea kwenye mahusiano yenu
 
Ukweli ni kwamba watu wakiachana kuna kua na uadui wa chinichini, iyo kuombeana mema ni unafiki tu, maana hadi kuachana means kuna baya lilitokea kwenye mahusiano yenu
Nakazia!!
Maneno Matamu Sitayasema Mimi Kwenye Utawala Wangu
Ngojeni Atakayewabembeleza
JPM πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€



Wengi Wanaukwepa Ukweli Ulioundika Juu Hapo
Vita Ni Vita
 
Mungu ambariki EX wangu (first lover wangu)
huyu tuliachana kwa amani tuliitana mezani tukafanya analysis tukaona hakuna mwendo tukavunja mahusiano .
asubuhi ya leo amenipigia anasema angependa kuja nilipo kuifanya Master research yake i was like njoo na nitakuandikia research report yako buree.

anyway kuna mbwa iliniacha December au January baada ya kumkabidhi maisha yangu for 6 or 7 years yule mbwa ni bora angenichoma tu moto ndani ya Nyumba, sina cha kumuombea one day i will find her in a corner that i will have a chance to burn her to death MF
 
Mungu ambariki EX wangu (first lover wangu)
huyu tuliachana kwa amani tuliitana mezani tukafanya analysis tukaona hakuna mwendo tukavunja mahusiano .
asubuhi ya leo amenipigia anasema angependa kuja nilipo kuifanya Master research yake i was like njoo na nitakuandikia research report yako buree.

anyway kuna mbwa iliniacha December au January baada ya kumkabidhi maisha yangu for 6 or 7 years yule mbwa ni bora angenichoma tu moto ndani ya Nyumba, sina cha kumuombea one day i will find her in a corner that i will have a chance to burn her to death MF
Gonga Like Kwa Mwamba Huyu Hajauma Maneno
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€


Ushauri Huyu Mwamba Sanamu Yake Ikajengwe Chamwino Ikulu
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜
 
Bora wewe umeongea ukweli wa moyo wako, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuachwa na akakufikiria kwa wema, huwa wanatamani hata ufe
Wangu nilimuombea mabaya mno,sikutamani kumuona akifanikiwa wala akiwa na furaha kabisa,ilinichukua zaidi ya miaka mitatu au minne na zaidi.Nilianza kusali,lakini sala zangu zilikuwa ni za uchungu na laana juu yake nilikuwa nalia mnoπŸ₯ΊπŸ₯Ίnilikuwa najiona nasali kumbe kiuhalisia nilikuwa nanung’unika(kwa tafsiri nyingine ni kwamba nilikuwa namwambia Mungu amwangamize)

Nilikuwa nakwenda kwenye maombi sana kanisa la KKKT Korogwe,au Kwenye mikutano ya Mwalimu Mwakasege kipindi hicho ilikuwa ni viwanja vya mlimani kabla hajaamia Tanganyika Packers.kupindi chote nilikuwa nasali kwa kunung’unika tu.

Siku ya mwisho wa mkutano Tanganyika packers wa mwakasege ndo siku ambayo nilifunguliwa ufahamu kwa yale maombi ya miaka yote niliyokuwa nayaomba.sikuwa sahihi hata kidogo.nilijipa muda wa kumtafakari Mwamba kwa kina sana nikagundua kuwa ninadhambi ya kutubu ya kumuombea masta mabaya.mwamba alikuwa baba,mama,kaka,dada,mshkaji wangu,mwalimu wangu alikuwa kila kitu kwa kipindi hicho.

Ilinibidi nianze upya kusali kuomba toba iliyothabiti.nakumbuka nilifunga siku 80 kama sio 100 kwa ajili ya kuomba msamaha kwa Mungu kwa maombi ya laana niliyokuwa nikumuombea.niliahidi kufunga hata siku elfu moja mpka pale nitakaposhusha mzigo niliokuwa nimemuwekea mwamba siku nitakayopata Amani na nikawa sina kinyongo tena basi ndipo siku nitakayoacha kufunga(wachache mno watanielewa nikisema kushusha mzigo na kuitafuta amani ya moyo)

Moyo wangu ni mweupe kwake kama theluji.ninauhakika alitumwa na Mungu kwenye maisha yangu kwa asilimia πŸ’―.yapo mengi sana ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya huyu kiumbe.
Na nikisikiaga mke wake anamsumbua natamani nikamzibue huyo mwanamke vibao 20 mfululizo astuke usingizini.

Mpka sasa sijapata mtu siriazi mwenye tabia kama zake. alinifundisha usela flani Hivi.imagine tulikuwa tukitaka kupelekeana moto utamsikia β€œmwanangu tukapige basi game”or”twende tukakulane basi”tulikuwa tukipika pamoja..huku vitunguu vinaungua jikoni sisi tu napiga game😁😁jamani..yani tulikuwa kama watoto vile.

Mjinga yule alijua kunifundisha maisha namshukuru mno. Sijui nisingekutana nae kwenye maisha haya ningekuwa na maisha gani.nazidi kumtukuza Mungu kwa ajili yake aiseh.

Niliahidi kumchukua yatima mmoja awe mtoto wangu niwe mzazi wake hii yote ni kusema asante kwa Mungu na Mwamba kwa waliponitoa.hili ni lazima nilitekeleze hatotokea wa kuubadilisha huu msimamo.

Mungu wa majeshi azidi kumtunza huyu baba.amuepusha na kila hila ya muovu shetani.Amen
 
Wangu nilimuombea mabaya mno,sikutamani kumuona akifanikiwa wala akiwa na furaha kabisa,ilinichukua zaidi ya miaka mitatu au minne na zaidi.Nilianza kusali,lakini sala zangu zilikuwa ni za uchungu na laana juu yake nilikuwa nalia mnoπŸ₯ΊπŸ₯Ίnilikuwa najiona nasali kumbe kiuhalisia nilikuwa nanung’unika(kwa tafsiri nyingine ni kwamba nilikuwa namwambia Mungu amwangamize)

Nilikuwa nakwenda kwenye maombi sana kanisa la KKKT Korogwe,au Kwenye mikutano ya Mwalimu Mwakasege kipindi hicho ilikuwa ni viwanja vya mlimani kabla hajaamia Tanganyika Packers.kupindi chote nilikuwa nasali kwa kunung’unika tu.

Siku ya mwisho wa mkutano Tanganyika packers wa mwakasege ndo siku ambayo nilifunguliwa ufahamu kwa yale maombi ya miaka yote niliyokuwa nayaomba.sikuwa sahihi hata kidogo.nilijipa muda wa kumtafakari Mwamba kwa kina sana nikagundua kuwa ninadhambi ya kutubu ya kumuombea masta mabaya.mwamba alikuwa baba,mama,kaka,dada,mshkaji wangu,mwalimu wangu alikuwa kila kitu kwa kipindi hicho.

Ilinibidi nianze upya kusali kuomba toba iliyothabiti.nakumbuka nilifunga siku 80 kama sio 100 kwa ajili ya kuomba msamaha kwa Mungu kwa maombi ya laana niliyokuwa nikumuombea.niliahidi kufunga hata siku elfu moja mpka pale nitakaposhusha mzigo niliokuwa nimemuwekea mwamba siku nitakayopata Amani na nikawa sina kinyongo tena basi ndipo siku nitakayoacha kufunga(wachache mno watanielewa nikisema kushusha mzigo na kuitafuta amani ya moyo)

Moyo wangu ni mweupe kwake kama theluji.ninauhakika alitumwa na Mungu kwenye maisha yangu kwa asilimia πŸ’―.yapo mengi sana ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya huyu kiumbe.
Na nikisikiaga mke wake anamsumbua natamani nikamzibue huyo mwanamke vibao 20 mfululizo astuke usingizini.

Mpka sasa sijapata mtu siriazi mwenye tabia kama zake. alinifundisha usela flani Hivi.imagine tulikuwa tukitaka kupelekeana moto utamsikia β€œmwanangu tukapige basi game”or”twende tukakulane basi”tulikuwa tukipika pamoja..huku vitunguu vinaungua jikoni sisi tu napiga game😁😁jamani..yani tulikuwa kama watoto vile.

Mjinga yule alijua kunifundisha maisha namshukuru mno. Sijui nisingekutana nae kwenye maisha haya ningekuwa na maisha gani.nazidi kumtukuza Mungu kwa ajili yake aiseh.

Niliahidi kumchukua yatima mmoja awe mtoto wangu niwe mzazi wake hii yote ni kusema asante kwa Mungu na Mwamba kwa waliponitoa.hili ni lazima nilitekeleze hatotokea wa kuubadilisha huu msimamo.

Mungu wa majeshi azidi kumtunza huyu baba.amuepusha na kila hila ya muovu shetani.Amen
Duh
 
Mungu ambariki EX wangu (first lover wangu)
huyu tuliachana kwa amani tuliitana mezani tukafanya analysis tukaona hakuna mwendo tukavunja mahusiano .
asubuhi ya leo amenipigia anasema angependa kuja nilipo kuifanya Master research yake i was like njoo na nitakuandikia research report yako buree.

anyway kuna mbwa iliniacha December au January baada ya kumkabidhi maisha yangu for 6 or 7 years yule mbwa ni bora angenichoma tu moto ndani ya Nyumba, sina cha kumuombea one day i will find her in a corner that i will have a chance to burn her to death MF
Aiseh...alikufanya nini Chief.
 
Gongo Like Kwa Mwamba Huyu Hajauma Maneno
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€


Ushauri Huyu Mwamba Sanamu Yake Ikajengwe Chamwino Ikulu
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜
hahhahhaahaha nitapata tabu kupanda panda ndege kwenda kulishangaa sanamu langu Chamwino
Naomba likajengwe Magogoni.

Hii takataka nimeiandalia maumivu matamu she will be smiling wakati namuua kimyakimya nitamdunga hata sindano yenye Covid
 
Back
Top Bottom