Ex wangu 1 tu kati ya wanne walioolewa tulioachana bila ugomvi ndie mwenye msimamo, wengine penzi linaweza kuamshwa muda wowote

Ex wangu 1 tu kati ya wanne walioolewa tulioachana bila ugomvi ndie mwenye msimamo, wengine penzi linaweza kuamshwa muda wowote

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
a535168b19.jpg

nina ma ex wanne ambao tuliachana vizuri bila ugomvi kwa sababu za masomo, kazi na majukumu mengine, katika hawa ni mmoja tu ambae kashikilia msimamo wake sijaona akiwa na shauku ya kupasha kiporo, wengine watatu tunaweza tusichat hata miezi lakini muda tukionana ama tukichat ni kama season 2 inaendelea, nazishukuru utu uzima hekima ina nguvu kuzidi mwili na hisia.

Na pengine naweza kutoa backup vijana wawahi kuoa mabinti 18 - 21, kadri wanavyosubiri, body count kwa wake zao zinaongezeka, kuwa na mahusiano mengi serious tunaweza chukulia ni jambo la kawaida lakini ni jambo zito sana.
 
Na pengine naweza kutoa backup vijana wawahi kuoa mabinti 18 - 21, kadri wanavyosubiri, body count kwa wake zao zinaongezeka, kuwa na mahusiano mengi serious tunaweza chukulia ni jambo la kawaida lakini ni jambo zito sana...
Huyo 1 anakukazia wewe ila kuna ex wake anatumiwa picha za utupu
 
Humu JF mtu akimtaka X mwenye mahusiano mengine anamchukua kiwepesiii. Simu moja inaletewa waa waa.
 
Na pengine naweza kutoa backup vijana wawahi kuoa mabinti 18 - 21, kadri wanavyosubiri, body count kwa wake zao zinaongezeka, kuwa na mahusiano mengi serious tunaweza chukulia ni jambo la kawaida lakini ni jambo zito sana.

nina ma ex wanne ambao tuliachana vizuri bila ugomvi kwa sababu za masomo, kazi na majukumu mengine, katika hawa watatu tunaweza tusichat hata miezi lakini muda tukionana ama tukichat ni kama season 2 inaendelea, ni vile tu hekima za utu uzima na busara zinasaidia, ni mmoja tu ambae kashikilia msimamo wake na huwa ananichana live hata nikijaribu kwa kutania.
We legea na wake za Watu...hapa mtaani kuna dogo katoka kukojolewa bao 5 za Mnduku...wakampa biskuti za Ufaransa za kuua Homon za kiume... Asaivi nae kapata bwana Pika nipakuee
 
Kwa kweli busara na kujizuia vinatakiwa kwa sana tu. Kuna siku ex wangu mmoja alinistaajabisha sana, sema nashukuru nina mbinu za kukimbia mbio ndefu!
 
Alafu unajiona kidume kuvuruga mahusiano ya mwanaume mwenzio..
 
Back
Top Bottom