Ex wangu anaona status zangu licha ya kufuta namba zake kila mahali na ku unfollow Social Media

Ex wangu anaona status zangu licha ya kufuta namba zake kila mahali na ku unfollow Social Media

Kuna baadhi ya simu huwa hazifuti namba bali zina hide, sumsung ina michezo hiyo. Hasa kama huyu mtu mpo naye kwenye magrup pamoja, na umesev namba zako gmail na sio kwenye line ama simu.
Pili inaonesha unampenda sana huyo x wako maana kama mmeachana hakutext na hakutafuti inakuuma nn ww akiangalia status zako.
3. Ibaonesha either ni mtoto ama mkubwa ila una akili za kitoto, why. Kuachana sio uadui kinachovunjwa hapo ni urafiki wa mapenzi ila bado mnakuwa marafiki
The best way to revenge kama mliachana vibaya basi sev namba yake weka status nyingi sana za kumsifia mwanaume wako kwa vile anatembelea ataziona pia
 
Mm huwa siachani aisee siku sina mpango wwte unampigia tu mnapasha kiporo, ex hatongozwi bana
 
Mhhh,

Utanikosoa kama ntakuwa siko sahihi, ninavyojua mimi mtu akiwa na namba yako ameisave anaweza kuona status zako bila kujali wewe umemsave au hapana.
 
Habari wangu.

Kuna ishu naomba msaada, sijuwi ndo mambo yamebadili siku hizi kwenye whatsaap.

Nilisitisha mahusiano na aliekuwa mpenzi wangu. nilifuta namba yake na picha zake zote. lakini ajabu bado nikiweka status anaona na jina inajitokeza lile alioandika kwenye whatsaap yake. Imetokea mara tatu nyakati tofauti.

Siku nyingine baada ya kuona status yangu nilitaka nimuulize lakini naona hii namba haijaseviwa. Nashindwa kumuuliza cos ndo attention anayosubir kuona text yangu.

Niliamua ku unfollow lakini bado tu anaona, nikafuta picha zake zote, lakini bado tu anaona, nimegoogle kutaka kujua jambo hili linawekanaje, bado sijapata majibu ya kuridhisha.

Nilitaka niweke hasiwe anaona status zangu, lakini mimi nataka nisiwe na namba yake kabisa, kublock haitonisaidia cos bado namba yake itakuwepo kwa watu nilioblock.

Nimejaribu mtu mwingine, lakini mambo ni tofauti, nifuta namba yake hawezi kuona status yake.

Naomba msaada, au ndo features mpya za whatsapp au kuna kitu gani amefanya.

Nime restart simu yangu maybe kuna mahali kafanya mchezo lakini wapi.

Msaada sipendi aone status zangu.
Kwani lengo la kuweka status ni lipi?
 
Ukute wameshare google account. We unafuta mwenzio ana restore namba yake maisha yanaenda muruwa. Utateseka kijinga ww.
Ex muhimu sana kwenye maisha haya
 
Simu huwa inanoyesha Phone contacts tu. Ila sehemu za kukaa contacts ni nyingi. Phone, SIM, gmail account, account ya manufacturer (eg samsung account, huawei account).
Nenda kwa contacts za simu, af hakikisha umeweka show all contacts, itafute halafu ifute. Hapo itakua imetoka sehemu zote na whatsapp haitaiona tena
 
Hivi status huwa zinawatesa kiasi hiki?Ujinga mtupu.Wanaume wazima tuanze kujadili status [emoji15][emoji15]
 
Ex ni kama ccm tu ukipenda yupo usipopenda pia yupo [emoji276]
 
Setting>account>privacy>status>>my contacts except....
 
WANAUME TUNAZIDI KUISHA KWA KASI MNO KWAKWELI.

YANI MWANAUME MZIMA NA STATUS WAPI NA WAPI??????

HUO MDA UNAUTOA WAPI?????

INATIA AIBU MWANAUME KUFANYA MAMBO YA KITOTO NA YA KIKE YA STATUS.

AIBU HII WANA JF.
GREAT THINKERS
 
Back
Top Bottom