Ex wangu anaona status zangu licha ya kufuta namba zake kila mahali na ku unfollow Social Media

Ex wangu anaona status zangu licha ya kufuta namba zake kila mahali na ku unfollow Social Media

Rudisha majeshi nyuma! Jipange shambulia upya teka mji mkuu na mji mashuhuri.
 
Habari wangu.

Kuna ishu naomba msaada, sijuwi ndio mambo yamebadili siku hizi kwenye whatsApp.

Nilisitisha mahusiano na aliekuwa mpenzi wangu. Nilifuta namba yake na picha zake zote. Lakini ajabu bado nikiweka status anaona na jina inajitokeza lile alioandika kwenye whatsaap yake. Imetokea mara tatu nyakati tofauti.

Siku nyingine baada ya kuona status yangu nilitaka nimuulize lakini naona hii namba haijaseviwa. Nashindwa kumuuliza cos ndio attention anayosubiri kuona text yangu.

Niliamua ku unfollow lakini bado tu anaona, nikafuta picha zake zote, lakini bado tu anaona, nimegoogle kutaka kujua jambo hili linawekanaje, bado sijapata majibu ya kuridhisha.

Nilitaka niweke hasiwe anaona status zangu, lakini mimi nataka nisiwe na namba yake kabisa, kublock haitonisaidia cos bado namba yake itakuwepo kwa watu nilioblock.

Nimejaribu mtu mwingine, lakini mambo ni tofauti, nifuta namba yake hawezi kuona status yake.

Naomba msaada, au ndio features mpya za whatsapp au kuna kitu gani amefanya.

Nime restart simu yangu maybe kuna mahali kafanya mchezo lakini wapi.

Msaada sipendi aone status zangu.
Change nani aone status zako kama hutaki aone..!! By the way inakusumbua nini akiona? Wewe unaona kuwa kaona kwa sababu yeye bado kaku-save. Kwa vile wewe hujam-save, utaona jina analolitumia kwenye whatsapp yake
 
Kwa nini usiache kuweka status ili asiwe anaziona
 
Hiyo namba yake umefuta jina. Hujafuta namba. Sijui kama utanielewa. Yaani unaweza kusave namba ya mtu bila jina na ndicho ulichofanya bila ya kujua.
Na amesema hataki kumblock
 
Ingia kwenye settings za whatsapp, angalia status, chagua nani aone status yako kuwa contacts only.
 
Embu nipe namba yako na mm nionage hizo status zako....
 
Ingia kwenye settings za whatsapp, angalia status, chagua nani aone status yako kuwa contacts only.
Nado hujajibu hoja yake.

Hoja yake ni kuwa hii inawezekanaje usiye na nba zake aone status zako?
 
Mkuu, umefuta namba ya mtu alafu bado anaona status zako, haingii akilini. cos najiuliz maybe amehack simu yangu
Mkuu humu wengi wanawaza zaidi huyo ex hawajaelewa unachotaka....wamejikita kwa ex.
Mcheki mkwawa huwa yuko vizuri kiteknolojia
 
Nado hujajibu hoja yake.

Hoja yake ni kuwa hii inawezekanaje usiye na nba zake aone status zako?

Inawezekana ikiwa umeweka option ya mtu yeyote kuona. Hii haijalishi as long as ana namba yako ataona.
 
Inawezekana ikiwa umeweka option ya mtu yeyote kuona. Hii haijalishi as long as ana namba yako ataona.
Options ni tatu
ni option ya watu wote ni kwa wale tu ambao nina namba zao
 
Kama ni kweli basi umefuta jina kwenye namba, lakini namba bado umesave
 
Atakua mchawi. Na yeye kwanini afuatilie? Atafute shughuli awe busy
Wakuu tuwe tunapanua wigo wa kufikiri.
Hatujui status zake zinahusu nini na ujue siku hizi stqtus ni moja ya platfom ya biashara.
Huenda anafuatiliaga kuwa tqngqzo lake limewafikia wqngqpi.
Anapokagua na kufuatilia anashangaa kuona kuwa aliyekuwa wanakojo..za..na naye ame view😂😂😂😅
 
Change nani aone status zako kama hutaki aone..!! By the way inakusumbua nini akiona? Wewe unaona kuwa kaona kwa sababu yeye bado kaku-save. Kwa vile wewe hujam-save, utaona jina analolitumia kwenye whatsapp yake
Jibu la tatizo lako ni hili hapa[emoji115][emoji115][emoji115]
Sijasave number mkuu, nimeangalia namba yake sijasave,
 
Back
Top Bottom