Ex wangu anaona status zangu licha ya kufuta namba zake kila mahali na ku unfollow Social Media

Mkuu, umefuta namba ya mtu alafu bado anaona status zako, haingii akilini. cos najiuliz maybe amehack simu yangu
Wewe kufuta namba yake haina uhusiano na yeye kutoona status zako, hiyo ni kwa sababu yeye ame save namba yako kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…