Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
aki utachomwa na gesi MbinguniHilo gari la wanaume unalipeleka wapi mzee wangu
poleMpumbavu pekee ndy anaweza kudili na yalopita bnafsi kuna mda nkikumbuka ushenzi nilofanya uwa najichukia " u can't change what happened but u can stop from happening again"
usisahau ku susbcribeTukutane kona yetu
Tuna jambo letuπ
mmefanana sauti sana mpaka nahisigi ndo wewπππalafu unanichorakumbe ex ana x
nipe jina lake nimempenda
uweee!mmefanana sauti sana mpaka nahisigi ndo wewπππalafu unanichora
50thebe Antonnia Smart911 Cr wa familia
sasa embu niambie basi wewe mpenzi msomaji
ukimkumbuka ex wako unakumbuka nini?
kizuri au kibaya!
Maumivu yapo kutufunza na kutukomaza kiakili. ila ubaya mpaka kuyavuka na ukabaki salama ni hatua ndefu.pole
naona umepigwa za uso na umeangukia meno ya mbele
Nasoma comments.
sasa embu niambie basi wewe mpenzi msomaji
ukimkumbuka ex wako unakumbuka nini?
kizuri au kibaya!
KumbeπAisee kuna namna siwezi kumsahau yule jamaa.... nikisema anajua namaanisha anajua kweli yaniπππ..... ila ndo hivyo ex harudiwiππ
Kumbe what ππππKumbeπ
Hata weweπKumbe what ππππ
HahaπππππHata weweπ
Poleni jamanMaumivu yapo kutufunza na kutukomaza kiakili. ila ubaya mpaka kuyavuka na ukabaki salama ni hatua ndefu.
Usisahau Ku subscribeHoney Money Penny hizi simulizi zinasisimua mno. Heko sana my Money Penny πΉ