Exclusive: Developing Story ya Mwanafunzi aliyeua Mwalimu ( Patron ) Shule ya Kiislamu ya QIBLATEIN Kawe

Mfumo wetu wa elimu unazalisha wapumbavu wengi sana siku hizi

Mti mwenye akili timamu hawezi kukaa kusoma hii habari kwasababu inamapungufu zaidi ya [emoji817]
Naona ndio maana amewaonya polisi wasiutumie uzi wake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfumo wetu wa elimu unazalisha wapumbavu wengi sana siku hizi

Mti mwenye akili timamu hawezi kukaa kusoma hii habari kwasababu inamapungufu zaidi ya [emoji817]
Habari ina Mapungufu kuliko Upumbavu mwingi ulionao baada ya Kurithishwa na waliopoteza muda wao kukutafuta na kukuleta duniani?
 
Naona ndio maana amewaonya polisi wasiutumie uzi wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Naona ndio maana amewaonya polisi wasiutumie uzi wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
.....Mwanafunzi Shuhuda: Ukweli ni kwamba huwa tunapewa Elimu hii ya Darasani kisha na ile ya Dini yetu ya Kiislamu ila kuna muda huwa tunapewa Mazoezi ya Kuwa Fiti na Kujilinda dhidi ya wale wanaocheza au wanaoitusi Imani yetu....
 
NDUGU GENTA, MIM SIO MPINZANI WAKO, KUWA NA UKAKASI NA UZI WAKO HAIMAANISHI NAKUCHUKIA[emoji736]
 
.....Mwanafunzi Shuhuda: Ukweli ni kwamba huwa tunapewa Elimu hii ya Darasani kisha na ile ya Dini yetu ya Kiislamu ila kuna muda huwa tunapewa Mazoezi ya Kuwa Fiti na Kujilinda dhidi ya wale wanaocheza au wanaoitusi Imani yetu....
Na sijui kwanini alipofika hapa hadi Sura yake nae Mwanafunzi Shuhuda ilibadilika nami nikaanza Kuamini kuwa Mafunzo yamemuingia na Imani ( Dini ) yake anaitendea haki.
 
NDUGU GENTA, MIM SIO MPINZANI WAKO, KUWA NA UKAKASI NA UZI WAKO HAIMAANISHI NAKUCHUKIA[emoji736]
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Haya mzee Genta.
 
Fact Zina mgongano...ni aidha unajaribi kipaji chako Cha utunzi au mwanafunzi muongo,halafu maelezo/dialog zote hizo uliandika au ulirekodi!?.. maelezo ya mwanafunzi hayako natural,watoto wa Leo na hata Hali ya kawaida hawezi jieleza akianza na hizo 'baba' kwenye kila jibu
 
Na sijui kwanini alipofika hapa hadi Sura yake nae Mwanafunzi Shuhuda ilibadilika nami nikaanza Kuamini kuwa Mafunzo yamemuingia na Imani ( Dini ) yake anaitendea haki.
Then, you ae lucky to have finished that interview !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…