Kitu ninacho kiona ni kwamba huyo dada ametumika ili kum-trap huyo jamaa, iwe kwa kujua au bila kujuanimesoma Leo dada yake marehemu huyo bint miaka 21 alisema caro alimuambia anatoka out ma msando kwenda kunywa na wanajua yeye na msando walikuwa mahawara ingia daily nation.Co.ke