EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Uhuru kishashinda,no way Raila akafunika hili gepu aisee.
 
I'm very sure huko waliko Uhuruto jasho linawatoka. Hawajapata South west yote, south, east yote, north yote.
 
Eng. Raila Odinga yupo anatimuliwa vumbi kali sana. The game is almost over. Sasa atulie alee na acheze na wajukuu zake tu. Hakuna namna
 
Mwaka 2015 katika uchaguzi wa Tanzania muda kama huu mtandao wa JF ulikuwa haupatikani, wajanja walikuwa busy kufunga goli la mkono, huku tallying centre za UKAWA zikivamiwa na Polisi, na Lubuva akienda kuropoka matokeo ambayo yalikuwa yamejaa utata, uongo na Uzushi.

Kweli nimeamini Kenya wako level nyingine kabisa kisiasa, kidemokrasia na kiuchumi. Tanzania mbele ya Kenya ni kama uchafu mtupu.
 
Hongera sana Uhuru Kenyatta kwa kuchaguliwa tena kuwa Raisi wa Kenya
 
Hata mimi nilitaka Raila ashinde lakini baada ya kuona uswahiba wake na Magufuli hapo nikahamia kwa Uhuru.

Kama Wakenya wakimchagua Uhuru nitawaona ni watu wenye Akili kubwa sana.
 
Hakuna watu wanaishi kwa matumaini makubwa kama wafuasi wa Raila. Kila IEBC wanapotoa matokeo utawasikia "bado ni mapema sana, subiri kidogo, kuna ngome zetu bado, huoni asilimia zinapanda, na maneno mengine meeengi kama wagonjwa wa ndui"

Yani nikiwasililiza nacheka tu. Kwanza hawaamini kama wamechezea "vitasa vya uso" hadi muda huu. Walitegemea matokeo ya awali waongoze but imekuwa kinyumeche. So wamepagawa. Pili wanaamini eti kuna ngome zitawapa ushindi, wanasahau kuwa Kenyatta nae ana ngome zake pia.

Tatu kuhusu percentage wanasema Raila anapanda. Hii ni kwa wasiojua hesabu tu ndo watashangaa. Lakini kwa anayejua hesabu sio jambo la kushangaza. Hata Anna Mghwira siku ya kwanza alipata asilimia zero then akaanza kupanda polepole hadi zero nukta kadhaa. Na logic ni kuwa kura zinapokua chache aliyeongoza anakuwa na percentage kubwa lakini percentage inapungua kadri kura zinavyozidi kuongezeka.

Kwa mfano kura zikiwa 10 mimi nikapata kura 9 na ww moja, it means nimepata 90% na wewe 10%. Lakini kura zikawa 1000 nikapata 700 na wewe 300 means nitakua na 70% na wewe 30%. So sio jambo la ajabu. Probability ya percentage kuongezeka au kupungua kwa kadri kura zinavyozidi kuhesabiwa ni jambo la kawaida. Hii ni topic ya "probability" form 2 A. Vijana wa Raila hamkusoma hii?

We hujiulizi inakuaje Raila percentage zinaongezeka ila anazidi kuachwa kwa gap kali la kura. Matokeo ya awali Uhuru alikua na laki 3 na Raila laki 2 plus, means tofauti ya kura laki moja plus. Baadae Uhuru 500K+ na Raila 300K+ means tofauti ya kura 200K+. Badae Uhuru 900K+ na Raila 600K+ means tofauti ya kura 300K+. Badae Uhuru 1.7M+ na Raila 1.3M+ means tofauti ya kura 400K+. Sasa hivi Uhuru 3.3M+ na Raila 2.6M+ means tofauti ya kura 700K+.

Hii ina maana kwamba kila matokeo yanapotangazwa Raila anazidi kuachwa nyuma kwa kura nyingi sana. Mwanzoni kabisa alikua na gap ya kura laki moja. Lakini sasa hivi ana gap ya kura laki 7. Halafu wafuasi wake wanabana pua kama Hamorapa eti "Raila anapanda". Anapanda kwenda wapi? Labda darini.

Jiandaeni kisaikolojia kupambana na hali zenu wazee. [HASHTAG]#UhuruTanoTena[/HASHTAG].!
 
Namanga na Sirari ulinzi uimarishwe Tafadhari kuna Mzee mmoja tunamuita JECHA akipenya tu.....

KIMEO CHANGU
Thubutuuuu kule hawanaga masihara mzee akienda huko tumsahau

In God we trust
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…