EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Uhuru ameiba kura. Atatangazwa hivi sasa na IEBC. Lakini IEBC haijamaliza kukagua form 34b. Kuna form 34b zaidi ya kumi ambazo bado hazijawasili Bomas Nairobi. IEBC haifai kutangaza kabla ya kupokea form 34b zote na kuzikagua. Nimepata fununu kuwa Kisumu na Kibera kutawaka moto Leo ila sijui kama ni ukweli, wacha tungoje tuone
 
Muda mfupi ujao Tume ya Uchaguzi itamtangaza rasmi Raisi mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta namwona Odinga ameshafika ukumbuni.
 
Kuwa objective basi. Unaposema Uhuru na wakikuyu ni wakabila, sema hivyo hata kwa Raila na wajaluo. Unapingana na international observers lakini unayaamini baadhi ya mashirika ya kiraia ya ndani, ambayo nayo yanashambuliwa na ukabila, au haujui hata NGOs Kenya ni tribal affiliated? Unaposema wakikuyu ni wabinafsi kwa sababu ya historia lawama hiyo iwaendee pia wajaluo kwa kukataa kushiriki mapambano ya uhuru. Wala usitabiri kwamba Ruto atapingwa!
 
Chomaneni tuuu moto na visu na mapanga maaana wao wenyewe wapo wanaangalia tuuu na ku confirm mpango wao wa DIVIDE AND RULE.
 
Machungu aliyopata Lowasa leo kwa Raila yatakua makubwa zaidi.
Raila alijifanya ni fundi mkubwa kwenye udukuzi wa kura ili Rafikiyake kipenzi aingie ikulu,lakini kwake ameshindwa kabisa kudukua.
Aache kulialia apishe ikulu ouru afanye yake.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni chungu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili Ukumbi wa Bomas kujua hatma ya nafasi hiyo anayoitetea kwa muhula wa pili. Matokeo kutangazawa leo
 
Hatimaye mafisi wa Jubilee wamefanikiwa kuiba kura za Odinga na kushinda uchaguzi. Mungu anawaona nyie nyang'au!
 
Well said, mi nampenda sana Ruth kwa mwonekano wake kuliko wanasiasa wote wa Kenya lakini haonyeshi sifa za urais kama walivyo Kalonso Musyoka na Musalia Mudavadi, so Wakikuyu wakimpandisha Mkalenjini, atapigwa vibaya kwani ni wazi kwa trend ilivyo sasa, Odinga katika uchaguzi ujao atamuunga kati ya Musyoka ama Mudavadi ambao ukiacha makabila yao, wamekuwa kwenye alliances nyingi tangu 2002 hivyo wanakubalika hata kwa county zisizo na makabila hayo makubwa hasa kwa wasomali, wamasai na watu wa Pwani.
Pia ukiacha mapinduzi makubwa ya kimiundombinu nchini Kenya yaliyofanywa na Uhuru, nafasi yake kama Incumbent ndiyo imembeba zaidi.
 
Yashafika tayari,inasubiriwa tu muda wa chinja chinje
 
Kwenye moja ya kampeni zake, Kenyata alisema nilimshinda nikiwa nje ya ya serikali. Kweli atanishinda nikiwa ndani ya serikali.'' Ile kauli iliniacha na fumbo zito sana....

Hakujawahi kuwa na uchaguzi wa Uhuru na wa haki barani Afrika... Ni maigizo tu
 
kwani Tallying Center ya mawinguni haijasaidia??

Alafu huko Kisumu mkichoma moto hizo nyumba zenu nani atawajenge tena??


Malisa pole sana
 
these kind of inflammatory statements ndio huwa zinaleta violence....
 

Weww hujitambui kabisa, nakushauri ukae kimya!!! Sio lazima utoe hoja!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…