Yes, nipo mkuu, njoo ofisini tuyajenge, ofisini Hiko mwenge opposite Na TRA. Utapata ramani safi.Wakuu habari zenu!
Nina kiwanja cha 60m*30m ningependa kupata ramani nzuri.
Nyumba ninazohitaji ni za kupangisha na zenye sifa zifuatazo:
1. Ziwe tatu ndani ya kiwanja cha 60m*30m.
2. Nyumba iwe na vyumba 2 kimoja self, seating room, dining room, kitchen, store na choo/bafu public lakini vimo ndani ya nyumba.
3. Zizingatie privacy ya wapangaji pia independent.
Needed immediately. Kazi kwenu wataalam na zinahitajika mapema sana.
Mchoraji ni wewe mwenyewe kwa sababu inadesign mawazo na mahitaji ua nyumba yako. Labda useme huwezi kuweka mawazo yako kwenye karatasi..Wakuu habari zenu!
Nina kiwanja cha 60m*30m ningependa kupata ramani nzuri.
Nyumba ninazohitaji ni za kupangisha na zenye sifa zifuatazo:
1. Ziwe tatu ndani ya kiwanja cha 60m*30m.
2. Nyumba iwe na vyumba 2 kimoja self, seating room, dining room, kitchen, store na choo/bafu public lakini vimo ndani ya nyumba.
3. Zizingatie privacy ya wapangaji pia independent.
Needed immediately. Kazi kwenu wataalam na zinahitajika mapema sana.
Sentensi yako ya mwisho ndiyo jibu mkuu. Mawazo ninayo yote Ilanahitaji mchora ramani professional ili nyumba zikae vizuri ikiwa pamoja na sysytem zote as maji taka pamoja na conditions nilizoziweka kwenye uzi wangu!Mchoraji ni wewe mwenyewe kwa sababu inadesign mawazo na mahitaji ua nyumba yako. Labda useme huwezi kuweka mawazo yako kwenye karatasi..
Nipo mkoani! Ofisi yako inaitwaje na unaweza nipa contacts zenu zote?Yes, nipo mkuu, njoo ofisini tuyajenge, ofisini Hiko mwenge opposite Na TRA. Utapata ramani safi.
Nipo mkoani! Ofisi yako inaitwaje na unaweza nipa contacts zenu zote?[/QUOTE
Please call:
Mob. +255787449622. Karibu
Nicheki kwa 0657849984 arch P.Kamata tufanye kaziSentensi yako ya mwisho ndiyo jibu mkuu. Mawazo ninayo yote Ilanahitaji mchora ramani professional ili nyumba zikae vizuri ikiwa pamoja na sysytem zote as maji taka pamoja na conditions nilizoziweka kwenye uzi wangu!
Hivi unajua 60*30 au? 1800 sqm hizo yumba tatu za requirements anazohitaji zinafiti kwenye only 500sqmKIWANJA KIDOGO HICHO KWA MAHITAJI HAYO YOTE...MANAKE NYUMBA ITAKUWA HAINA HATA PARKING..SEPTIC TANKS...PRIVACY HAITAKUWEPO KWA MAANA KUTAKUWA NA UZITO KUZITENGANISHA KWA UFINYU HUO WAKIWANJA..NA KAMA UKIFANIKIWA KUJENGA..VYUMBA VITAKUWA VIDOGO MNOOO.NYUMBA HIZO LABDA UZIGEUZE HOSTEL KWAKWELI.
ThanksSawa mkuu, hope umewasaidia sana walioko kwenye mchakato wa kujenga