Darius
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,951
- 320
Kazi nzuri..!! Ila naona bado unajifunza ArchiCAD. Also kwenye designing improvemnt inahitajika!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi nzuri..!! Ila naona bado unajifunza ArchiCAD. Also kwenye designing improvemnt inahitajika!
Ardhi ni flat kiwanja ni low densityYenye vyumba 3@4m na masters 5.5 m
Living m 6
Dining na jiko
Staff toilet 1.5 m
Store
Iwe na outlet 2 kwenye living na jiko
Madirisha milango ni opt ya mchoraji kuwa iwe size ngapi
Iliyokokotolewa tofali za kuchoma za inch 4 na mabati, kenchi nk
Kama upo hapa dar tuwasiliane, weka namba yako hapa takupigia
Ardhi ni flat kiwanja ni low density
inachukua tofari ngapi?But haiwez kuwa msaada
Ingia Google image's zipo kibaoWadau kiukwelike mzee mwenye nyumba kanikwaza Sana, hivyo nimeona nijenge nyumba vyumba viwili na sebule haraka Sana nihamie kangu niishi hivyo hivyo uku nakomaa malizia nyumba kubwa hapo hapo ambayo ipo kwenye ujenzi
Hivyo naomba mwenye ramani upload hapa nione naitaji simple tu ramani ila nzuri
Kupanga nimechoka.
Ramani mill.5?Ninazo nyingi, ila ni kwanini unataka upewe bure? Kama una Mil.5 sema niku-uploadie set full.., hahahahah
DuuRamani mill.5? khumarnhyokho!
Utakuwa na matatizo makubwa upstair!Ninazo nyingi, ila ni kwanini unataka upewe bure? Kama una Mil.5 sema niku-uploadie set full.., hahahahah
Hili ndio tatizo la kuchukulia poa fani za watu..., hahahaha..., tafuta firm yoyote kawaambie unataka ramani ya nyumba vyumba viwili, alafu tuletee mrejesho..., hahahRamani mill.5? khumarnhyokho!
Infact u r insane.., hizo ni kazi za watu..., usichukulie poa..Utakuwa na matatizo makubwa upstair!
Watu wengine siku hizi sijui akili zao wameficha wapi! Kama anaona ni rahisi achukue karatasi achore mwenyewe!Infact u r insane.., hizo ni kazi za watu..., usichukulie poa..