Lincolntz
Member
- Jan 3, 2018
- 54
- 40
Mkuu nitakutafutaNicheki kwa 0657849984 arch P.Kamata tufanye kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nitakutafutaNicheki kwa 0657849984 arch P.Kamata tufanye kazi
Mkuu ni check tufanye kazi 0786328632Wakuu habari zenu!
Nina kiwanja cha 60m*30m ningependa kupata ramani nzuri.
Nyumba ninazohitaji ni za kupangisha na zenye sifa zifuatazo:
1. Ziwe tatu ndani ya kiwanja cha 60m*30m.
2. Nyumba iwe na vyumba 2 kimoja self, seating room, dining room, kitchen, store na choo/bafu public lakini vimo ndani ya nyumba.
3. Zizingatie privacy ya wapangaji pia independent.
Needed immediately. Kazi kwenu wataalam na zinahitajika mapema sana.
Thanks kaka, nishapata fundi na nipo kwenye implementation stage.Mkuu ni check tufanye kazi 0786328632
Mkuu, unaweza kusema ni kiwanja kidogo ila nimeshafanikisha zoezi kwa nyumba nilizotaka na zaidi moja kati ya hizo tatu ni kubwa ya vyumba vitatu pamoja na makorokocho yote ya nyumba ya kisasa.KIWANJA KIDOGO HICHO KWA MAHITAJI HAYO YOTE...MANAKE NYUMBA ITAKUWA HAINA HATA PARKING..SEPTIC TANKS...PRIVACY HAITAKUWEPO KWA MAANA KUTAKUWA NA UZITO KUZITENGANISHA KWA UFINYU HUO WAKIWANJA..NA KAMA UKIFANIKIWA KUJENGA..VYUMBA VITAKUWA VIDOGO MNOOO.NYUMBA HIZO LABDA UZIGEUZE HOSTEL KWAKWELI.
BOQ It's not applicable kwa project yako, acheni kusikia maneno na kuyaiga tu, we omba ramani kwa architect akuandalie na schedule of materials kisha anza kujenga.Habari za asubuhi bandugu.Ni siku nyingine tena ambayo Mimi nimegoma kabisa kujishirikisha na ujenzi wa taifa,nataka nijenge nyumba yangu.
Msaada unahitajika mwenye kuwa na utaalamu wa kuchora ramani na BOQ Yake ya residence house please PM ipo wazi.
N.B:uwanja una 30 M *20 M
Nawasilisha
Nilipopata wazo la kujenga nyumba nilibuni nyumba yangu iweje,kisha nikachukua karatasi na kalamu nikaanza ku-sketch kulingana na specifications zang kwani sikutaka ku- complicate na ramani za mitandaoni.
Nikaitunza idea yangu ulipofika wakati nikamtafuta fundi nyumba ikajengwa na hapa ninapoandika nipo home kwangu.
0712046129Habari za asubuhi bandugu.Ni siku nyingine tena ambayo Mimi nimegoma kabisa kujishirikisha na ujenzi wa taifa,nataka nijenge nyumba yangu.
Msaada unahitajika mwenye kuwa na utaalamu wa kuchora ramani na BOQ Yake ya residence house please PM ipo wazi.
N.B:uwanja una 30 M *20 M
Nawasilisha
Nimekuelewa lakini sijawahi kujuta wala kufikiri kuimodify.In future uenda ukalazimika kubomoa kuongeza ama kubadilisha vitu. Mimi siyo hao wachora lakini nimekuja kujua umuhimu wao baada ya ndugu yangu mmoja kutumia utaratibu kama wako na mwisho kufanya marekebisho mara kwa mara kitu kinachopelekea gharama zaidi.
Ukiwatafuta hawa wataalamu ( uwe makini kuna wengine wana-copy kwenye mitandao) wanaweza kukuchorea ukajenga kwa awamu. Mimi nilifanya hivyo. Anakutolea picha za 3D zikionyesha nyumba ikiisha itakuwaje kwa kweli mleta uzi nakushauri ufanye hivyo hutajuta.
Pia gharama si kubwa kihivyo si unajua waTZ tunavyopendana na tunavyosaidiana - hiki kitu kipo sana tu na unaweza usikione hadi uende sehemu nyingine ambako hakipo. Mimi jamaa alinitoza 400,000/= lakini sijawahi kujuta, kuna wengine wanasema eti uwalipe 10% ya gharama za ujenzi, lkn ukiongea na baadhi gharama ni ndogo sana.
Ninae jamaa mmoja ni balaaaaa 0713368560 mwambie umepewa na George wa bunju huyo ni shidaHabari za asubuhi bandugu.Ni siku nyingine tena ambayo Mimi nimegoma kabisa kujishirikisha na ujenzi wa taifa,nataka nijenge nyumba yangu.
Msaada unahitajika mwenye kuwa na utaalamu wa kuchora ramani na BOQ Yake ya residence house please PM ipo wazi.
N.B:uwanja una 30 M *20 M
Nawasilisha
Nakaribisha ushauri kama huu kwakuwa sina idea za hizo mamboBOQ It's not applicable kwa project yako, acheni kusikia maneno na kuyaiga tu, we omba ramani kwa architect akuandalie na schedule of materials kisha anza kujenga.
Habari za asubuhi bandugu.Ni siku nyingine tena ambayo Mimi nimegoma kabisa kujishirikisha na ujenzi wa taifa,nataka nijenge nyumba yangu.
Msaada unahitajika mwenye kuwa na utaalamu wa kuchora ramani na BOQ Yake ya residence house please PM ipo wazi.
N.B:uwanja una 30 M *20 M
Nawasilisha