EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

Zama google au pinterest utapata za kuzidi. Japo kuna wenye fani zao humu...
 
20688454_131056110843775_1825019504871079936_n.jpg
 
Angalia hii perspective view ukitaka ramani yake uongee kwa kirefu zaid
 

Attachments

  • Capture.JPG
    Capture.JPG
    21.6 KB · Views: 382
  • 12.JPG
    12.JPG
    13.5 KB · Views: 416
Watu wanachezea fani za wenzao!
Mkipewa fee macho yanawatoka!
Kama vipi si mnachora tu wenyewe!
 
Infact u r insane.., hizo ni kazi za watu..., usichukulie poa..
Ni insane zaidi, yule anayemwambia mtu ampe milioni 5 amchoree ramani ya nyumba yenye vyumba viwili. Tunafahamu kuwa hizo ni kazi za watu, ila unaonyesha hizi wala si kazi zako!
 
Watu wengine siku hizi sijui akili zao wameficha wapi! Kama anaona ni rahisi achukue karatasi achore mwenyewe!
Hata kama hawezi kuchora mwenyewe, ni kujaribu kuonyesha mbwembwe tu za kijinga kumwambia mtu kama huyu aliyeleta uzi hapa kuwa ramani ya nyumba yenye vyumba viwili itamcost shilingi milioni 5!
 
Hata kama hawezi kuchora mwenyewe, ni kujaribu kuonyesha mbwembwe tu za kijinga kumwambia mtu kama huyu aliyeleta uzi hapa kuwa ramani ya nyumba yenye vyumba viwili itamcost shilingi milioni 5!
Sina hakika na userious wa mlete uzi na pia sina hakika na reputation ya aliyemjibu ila vyovyote vile usanifu majengo ni taaluma kama taaluma nyingine ni vyema iheshimiwe, yeye anaomba ramani bure wakati mchimba msingi hawezi kumchimbia msingi bila malipo!
 
Sina hakika na userious wa mlete uzi na pia sina hakika na reputation ya aliyemjibu ila vyovyote vile usanifu majengo ni taaluma kama taaluma nyingine ni vyema iheshimiwe, yeye anaomba ramani bure wakati mchimba msingi hawezi kumchimbia msingi bila malipo!
Sijaona neno "bure" kwenye post ya huyo mtu!, bali nimeona "kusaidiwa"! Sasa kusaidiwa haina maana mtu huyo anataka bure, lakini anaonekana sio mtu wa kuambiwa atoe shilingi milioni 5 kwa ramani ya vyumba viwili. Ni mbwembwe tu!
 
Hivi mleta Uzi bado anaexist mbona hareply? Hakuwa serious hata kidogo
 
Sijaona neno "bure" kwenye post ya huyo mtu!, bali nimeona "kusaidiwa"! Sasa kusaidiwa haina maana mtu huyo anataka bure, lakini anaonekana sio mtu wa kuambiwa atoe shilingi milioni 5 kwa ramani ya vyumba viwili. Ni mbwembwe tu!
watu wanatoa ramani hata kwa 20,000 ama 50,000 ila mtu akudisqualify namna hiyo...anyway aliyesema atamchorea kwa mil 5 alisema kwa dhihaka ama ramani zake anakupa ikiwa imeshajengwa kabisa kufikia usawa wa madirisha!
 
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358
Maoni Maswali Nitafute kwenye hzo namba hapo juu [emoji121]
fbf83c9c9e86588b5400222ddb558f2f.jpg
 
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358
Maoni Maswali Nitafute kwenye hzo namba hapo juu [emoji121]
fbf83c9c9e86588b5400222ddb558f2f.jpg
Bei?
 
Back
Top Bottom