Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There are currently 5 users browsing
this thread. (5 members and 0
guests)
Baba V , mkatakona , nachid , Erick kg, afrodenzi
Sijawahi ona thread inafuatiliwa na members tu bila guest visitors..
Yes,umeongea kiume,safi sana mkuu.namba yangu ni 0717 022737 atakaye weza kufanya kazi kwa 50,000 anicheki.
wazee wa kukopi na kupaste mumekujajuuuuuuu. You are never creative halafu munajifanya five years. Tuition fee medlokua mkilipiwa na serekali na bumu ambalo mpaka sasa hamjarudisha ndani ya miaka mi5 munataka muvivune kwa mtu mmoja???????.
Out of subject , naonaga zile nyumba mnazozichora kwa internet utakuta nnje mumeweka magari na watu wanatembea. Hivi munashindwaga nini hata kujitahidi kuweka watu weusi. Mnawekaga wazungu tu. As a layman napaaga sana shida
Saidieni wenzenu walio na kipato cha chini pia.
Nakaribisha matusi
nitakuchorea kwa laki 4 jumla na kukujengea msingi,au elfu 60 kwa raman pekee.. 0652835909
weka vipimo nivute hao msimbazi watano fasta.![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi ntachangia "rasimu" ya hiyo ramani.....free of charge
![]()