EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

Yeah, design ni nyingi hizo ni sample tu
 
tatizo hiyo bei ndogo mno uliyosema ndo haijajulikana.
Hebu taja basi nikutafute
 
Mbona zote ni gharama kubwa sana kimuonekano katka ujenz vp raman za wakina yahee ya self room2 moja iwe master+sebule
 
Mbona zote ni gharama kubwa sana kimuonekano katka ujenz vp raman za wakina yahee ya self room2 moja iwe master+sebule

Ramani hiyo ipo inapatikana, michoro mingi ipo siwezi kuapload kila kitu hapo. Wewe PM tu
 
Mbuzi wa masikini hazai .................
 
....Namba ya simu iko hapo tupia sms kwenye simu, PM, muda wa kuzipitia haupo. Bip, utapigiwa tu kama salio huna.

Ramani namba 6 na 18 vinafaha kwenye viwanja venye ukubwa gani? Wewe unapatikana wapi?


Jerhy
, Umeshamaliza chuo?

Biography: nimeteseka sana na kitu elimu yaani miaka 7 nasomea degree yaani ni maumivu mno.

https://www.jamiiforums.com/matanga...-heslb-kwa-tuliokosa-mkopo-wa-vyuo-vikuu.html

https://www.jamiiforums.com/matanga...angu-tafadhali-nichangia-kwa-kununua-hii.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ya-heslb-kutunyima-mkopo-priority-course.html
 


Ramani namba 6 na 18 vinafaha kwenye viwanja venye ukubwa gani? Wewe unapatikana wapi?


Jerhy
, Umeshamaliza chuo?

Biography: nimeteseka sana na kitu elimu yaani miaka 7 nasomea degree yaani ni maumivu mno.

https://www.jamiiforums.com/matanga...-heslb-kwa-tuliokosa-mkopo-wa-vyuo-vikuu.html

https://www.jamiiforums.com/matanga...angu-tafadhali-nichangia-kwa-kununua-hii.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ya-heslb-kutunyima-mkopo-priority-course.html

Bado nasoma, nichangie tuisheni fii
 
Back
Top Bottom