wazee wa kukopi na kupaste mumekujajuuuuuuu. You are never creative halafu munajifanya five years. Tuition fee medlokua mkilipiwa na serekali na bumu ambalo mpaka sasa hamjarudisha ndani ya miaka mi5 munataka muvivune kwa mtu mmoja???????.
Out of subject , naonaga zile nyumba mnazozichora kwa internet utakuta nnje mumeweka magari na watu wanatembea. Hivi munashindwaga nini hata kujitahidi kuweka watu weusi. Mnawekaga wazungu tu. As a layman napaaga sana shida
Saidieni wenzenu walio na kipato cha chini pia.
Nakaribisha matusi