Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei tafadhali!
Duhhh,mzee hapa unatisha.
Yaani unatujengea nyumba hadi makaburi.
Bado pepo tu
kaka zile za vyumba 3 zimeshuka bei?
Mi nataka mtu wa kuniwekea vipimo kwenye mchoro.gharama zenu zikoje kwa nyumba ya vyumba vitatu ikiwa ni vyumba 2 na masterbed room moja?na 2 toilet?
Then mnapatikana wapi kwa hapa dar?
Wazo jema
2 Bedrums plz
Jehry kuna moja umeifuta.
Hembu itupie tena
Ilikuwa kama nyumba ya kawaida ila ilikua na ngazi za kupandia za nje,ambapo juu uliniambia ni sehem ya kupumzikia jioni.
Haswaa,safi sana mkuu hii ndio my Dream house.
Maana hii ndio nitakutafuta kama tulivyoongea kwa ajili ya mchoro nk.
Nime Isave ili sipotee kwenye data zangu.
Hii ni nyumba moja in different angle?au no tofauti,maana nikiangali moja ina stairs za ndani na nyingine zanje katika the same angle.
Hembu niweke sawa hapo mkuu
Haswaa,safi sana mkuu hii ndio my Dream house.
Maana hii ndio nitakutafuta kama tulivyoongea kwa ajili ya mchoro nk.
Nime Isave ili sipotee kwenye data zangu.
Hii ni nyumba moja in different angle?au no tofauti,maana nikiangali moja ina stairs za ndani na nyingine zanje katika the same angle.
Hembu niweke sawa hapo mkuu
Asante mkuu nimekupata vilivyo.
Ramani ya nyumba vyumba vitatu bei gani?