Napenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa😁Tangu 2019-2023 bado haujapata mwanaume?
Ila shida ya mimi ni mpole sana na nasikia wanawake hawataki mwanaume mpole sana
Na alivyo na guu km lako lazima wamfaidi mafisi hata kwa SabuniKila la kheri dada, utampata mwanaume wa ndoto zako nakuombea
Wewe ni mchokozi sana😅😅Waona unavyonifokea what if me ndo uliyeandikiwa?
Msalimie kaka yetu mwandishi🥰Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Umenionea wapi??Na alivyo na guu km lako lazima wamfaidi mafisi hata kwa Sabuni
Na una-confess kwamba kashakufaidi sana hadi mda huuMimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Ndio ujiulize mara 3 nimekuona wapi ulivyo na bonge la ChuraUmenionea wapi??
Hapana, bado kabisa hatujafaidiana.Na una-confess kwamba kashakufaidi sana hadi mda huu
Ndio alivyo hivyo hivyoHivi Unique Flower ndo hivi ulivyo kweli, ama unaigiza?
Ninayemuongelea sio huyo mwaya.Msalimie kaka yetu maandishi🥰
Bado hajakufanyia matusi tangu 2014? Au sio ridhiki?Hapana, bado kabisa hatujafaidiana.
Kasome post yangu ya mwanzo kabisa utaelewa.Bado hajakufanyia matusi tangu 2014? Au sio ridhiki?
Pole sana💔💔nimesikitika.sitaki kujua sababu wala kuliongelea ila amini kıla kitu hutokea kWa sababu.Ninayemuongelea sio huyo mwaya.
Wewe jibu ashawahi kukula utamu wako au hajawahi? Maana unaweza ukawa upo kwenye relationship na mdoliKasome post yangu ya mwanzo kabisa utaelewa.
Na wewe unataka? Ushanogewa?Swali la uzushi kidogo Nifah…huyo wa sasa umempatia JF?
Asante mwaya, Mungu alikuwa na mipango mikubwa zaidi kwa mimi kuwa na huyu wa sasa.Pole sana💔💔nimesikitika.sitaki kujua sababu wala kuliongelea ila amini kıla kitu hutokea kWa sababu.
Swali la uzushi kidogo Nifah…huyo wa sasa umempatia JF?