Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Tatizo ulikuja kwa mbwembwe kwamba hujui kiswahili watu tulikuangalia tu na English yako isiyo na grammar wala tense. Sasa hivi unagonga 33 ila bado una kisirani kikali + gubu na kuongea hovyo[emoji3][emoji3]
Kwa mnyororo huo yakianzishwa mashindano ya wanawake wenye βGundu tuzo nakupa wewe
Tupo asee
Mimi ni kataaa ndoa ningekusitiri mamilo! Ila siku ukihitaji mtu wa kudate nae mm npo nikuoneshe mambo makuu usiyoyajua
sasa, aise!!
kwahiyo ulipanda milima na mabonde mengi sanae na mpaka sasa bado hujafika right?
Napenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa[emoji16]
Kaka tulia Maua afunguke [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naomba msimbane shosti yangu puliiizzz
Watu mnanyanduliwa hadi na mafrimasoni loh mbinguni mtaenda kwa kutambaa
Napenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa[emoji16]
Naona humu ndani kuna heka heka sana ikijulikana unamahusiano na fulani maana itatafutwa kila juhudi ukose Amani ya moyo au siku mkiachana uanze kukejeliwa..
Ni bora kuwa low key [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vp unaangaliaga vle vitu vya Vatican, Kuna vya Gigi hapa nimechoka kupigia nyetroo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe toka umeweka avatar ya Ringo basi majibu yako yamekaa kiringo ringo
Baba wa mbinguni ataonyesha njiaBaba mtumishi muoe Maua [emoji120]
Mbona umeguna?Mhmm
Vp unaangaliaga vle vitu vya Vatican, Kuna vya Gigi hapa nimechoka kupigia nyetroo
Baba wa mbinguni ataonyesha njia
Mbona umeguna?